CCM washinda ubunge Masasi, Ludewa wanukia
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kutamba katika chaguzi ndogo baada ya kushinda katika Jimbo la Masasi mkoani Mtwara huku ikiwa na kila dalili ya kutangazwa mshindi Ludewa mkoani Njombe.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
CCM kidedea Masasi, Ludewa
9 years ago
Mwananchi21 Dec
CUF kicheko Masasi, CCM Ludewa
9 years ago
Global Publishers21 Dec
CCM yanyakua ubunge jimbo la Masasi
Mbunge Mteule wa Jimbo la Masasi kwa tiketi ya CCM, Bw. Rashid Chuachua.
Chama cha Mapinduzi kimeweza kutetea jimbo lake la Masasi katika uchaguzi ulifanyika jana baada ya kuahirishwa Okt. 25 mwaka huu kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia chama cha NLD, Dkt. Emamanuel Makaidi kufariki Dunia huko Nyangao mkoani Lindi.
Kwa mujibu wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya jimbo la Masasi, Fortunatus Kagoro amesema kuwa Bw. Rashid...
9 years ago
Mwananchi11 Nov
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PDuFvn5TOvPkdiURzj53O*BFTXiPF5e7fEpLLbf7e3TEQyR*paZWgzM61Cxtr8QgFTEmE4nYl3ZneBUimQssKTFATwd2o68l/NgalawaPHOTO.jpg)
CCM LUDEWA YAMPITISHA NGALAWA KUWANIA UBUNGE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m3REVwRCIPA/XujWHTAYhEI/AAAAAAALuEo/EaN9bfVK-AowyddKposPBhOvI2QlN7_1QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.46.16%2BPM.jpeg)
HATUTAKI KUTUMIA NGUVU NYINGI KUWANADI WAGOMBEA NAFASI YA UBUNGE NA UDIWANI-CCM LUDEWA
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilaya Bakari Mfaume katika mkutano wa kamati kuu ya chama hicho uliolenga kujadili utaratibu na mchakato mzima wa uchukuaji fomu za kugombea nafasi hizo.
Alisema kuwa kwa sasa hawataki kukata viuno majukwaani na kuongea sana ili kumfanya akubalike...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/THi-Jyp0Z5M/default.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-mno-4_x2ihI/VkSZS63QbxI/AAAAAAAArQs/y01SqCqITHw/s72-c/19.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAMTEUA NDUGU DEOGRATIUS NGALAWA KUWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUDEWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mno-4_x2ihI/VkSZS63QbxI/AAAAAAAArQs/y01SqCqITHw/s640/19.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM iliyofanyika leo tarehe 12 Novemba, 2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete imemteua Ndugu Deogratius Ngalawa kuwa mgombea wake wa Ubunge katika Jimbo la Ludewa mkoani Njombe.
Ndugu Ngalawa ameteuliwa kugombea nafasi hiyo ya Ubunge baada ya kushinda kura za maoni zilizofanyika Novemba 10, 2015.Taarifa Rasmi - Ubunge Ludewa-
9 years ago
IPPmedia20 Dec
Masasi, Ludewa voting today in by-elections
IPPmedia
Residents of Masasi Urban and Ludewa constituencies will today cast their votes for candidates of a parliamentary seat, following the cancellation of the parliamentary poll for two constituencies by the National Electoral Commission (NEC) during the ...