CCM Ludewa yampitisha Ngawala kuwania ubunge
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PDuFvn5TOvPkdiURzj53O*BFTXiPF5e7fEpLLbf7e3TEQyR*paZWgzM61Cxtr8QgFTEmE4nYl3ZneBUimQssKTFATwd2o68l/NgalawaPHOTO.jpg)
CCM LUDEWA YAMPITISHA NGALAWA KUWANIA UBUNGE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/THi-Jyp0Z5M/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi03 Nov
CCM yampitisha mtoto wa Kigoda kugombea ubunge Handeni Mjini
9 years ago
Habarileo22 Dec
CCM washinda ubunge Masasi, Ludewa wanukia
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kutamba katika chaguzi ndogo baada ya kushinda katika Jimbo la Masasi mkoani Mtwara huku ikiwa na kila dalili ya kutangazwa mshindi Ludewa mkoani Njombe.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m3REVwRCIPA/XujWHTAYhEI/AAAAAAALuEo/EaN9bfVK-AowyddKposPBhOvI2QlN7_1QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.46.16%2BPM.jpeg)
HATUTAKI KUTUMIA NGUVU NYINGI KUWANADI WAGOMBEA NAFASI YA UBUNGE NA UDIWANI-CCM LUDEWA
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilaya Bakari Mfaume katika mkutano wa kamati kuu ya chama hicho uliolenga kujadili utaratibu na mchakato mzima wa uchukuaji fomu za kugombea nafasi hizo.
Alisema kuwa kwa sasa hawataki kukata viuno majukwaani na kuongea sana ili kumfanya akubalike...
10 years ago
Mwananchi21 Apr
TLP yampitisha Mrema kugombea ubunge Vunjo
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-mno-4_x2ihI/VkSZS63QbxI/AAAAAAAArQs/y01SqCqITHw/s72-c/19.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAMTEUA NDUGU DEOGRATIUS NGALAWA KUWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUDEWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mno-4_x2ihI/VkSZS63QbxI/AAAAAAAArQs/y01SqCqITHw/s640/19.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM iliyofanyika leo tarehe 12 Novemba, 2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete imemteua Ndugu Deogratius Ngalawa kuwa mgombea wake wa Ubunge katika Jimbo la Ludewa mkoani Njombe.
Ndugu Ngalawa ameteuliwa kugombea nafasi hiyo ya Ubunge baada ya kushinda kura za maoni zilizofanyika Novemba 10, 2015.Taarifa Rasmi - Ubunge Ludewa-
9 years ago
Habarileo17 Aug
CCM yaleta wa zamani 15 kuwania Ubunge
WABUNGE 15 wa zamani ni miongoni mwa wagombea mbalimbali waliopitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
10 years ago
Habarileo23 Sep
Mwenyekiti CCM mkoa kuwania ubunge
JOTO la ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini limeanza kupanda baada ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu kuthibitisha kuwania nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu mwakani.