Mwenyekiti CCM mkoa kuwania ubunge
JOTO la ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini limeanza kupanda baada ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu kuthibitisha kuwania nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu mwakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Mwenyekiti ACT taifa, Anna Mhgwira kuwania ubunge jimbo la Singida mjini
Kiongozi mkuu wa ATC Wazalendo, Kabwe Zitto, akihutubia baadhi ya wakazi wa mji wa Singida jana (6/8/2015) kwenye uwanja wa Peoples Club.Pamoja na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IvGplFBu2eM/VccjfnxwVRI/AAAAAAABTUo/sh_UTnWFjlM/s72-c/1439111816672.jpg)
BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CCM MKOA ARUSHA NA KATIBU MWENEZI WA MKOA WAJIUZULU NA KUHAMIA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IvGplFBu2eM/VccjfnxwVRI/AAAAAAABTUo/sh_UTnWFjlM/s640/1439111816672.jpg)
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA UVCCM MKOA WA IRINGA TUMAINI MSOWOYA AWAOMBA WANAWAKE KUJITOKEZA KUWANIA UONGOZI
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Catherine Magige sasa kuwania ubunge viti maalum UWT mkoa wa Arusha
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) kupitia vijana Mkoa wa Arusha, Mh. Catherine Magige akichukua fomu ya kuwania ubunge viti maalumu kupitia jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Arusha, anayemkabidhi ni katibu wa (UWT)mkoa wa Arusha Fatuma Hassan Tsea jana katika ofisi za umoja huo jijini Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) kupitia vijana Mkoa wa Arusha, Mh. Catherine Magige akimkabidhi katibu wa (UWT) mkoa wa Arusha Fatuma Hassan Tsea...
9 years ago
Habarileo17 Aug
CCM yaleta wa zamani 15 kuwania Ubunge
WABUNGE 15 wa zamani ni miongoni mwa wagombea mbalimbali waliopitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi11 Nov
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PDuFvn5TOvPkdiURzj53O*BFTXiPF5e7fEpLLbf7e3TEQyR*paZWgzM61Cxtr8QgFTEmE4nYl3ZneBUimQssKTFATwd2o68l/NgalawaPHOTO.jpg)
CCM LUDEWA YAMPITISHA NGALAWA KUWANIA UBUNGE
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Xqq1BMIyUYM/XkjU_abYF8I/AAAAAAACHsg/D2e1hA15jekrx7Gnq7PAgj2yW504fGiUACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200216_080217_565.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TANZANIA BARA AZINDUA OFISI YA CCM MKOA WA GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xqq1BMIyUYM/XkjU_abYF8I/AAAAAAACHsg/D2e1hA15jekrx7Gnq7PAgj2yW504fGiUACLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200216_080217_565.jpg)
15.02.2020
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Ndugu Philip Japhet Mangula amezindua jengo la ofisi ya CCM Mkoani Geita ambalo ni limejengwa na viongozi wa Chama na Serikali, Wanachama wa CCM pamoja na wadau mbalimbali Mkoani hapo.
Aidha, Ndugu Mangula akiwahutubia wana CCM hao...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Kada CCM ajing’oa, kuwania ubunge kupitia Chadema
Mapokezi ya Fransico Kimasa Shejamabu (mwenye gwanda) akielekea katika viwanja vya shule ya msingi Pambalu wilayani Sengerema kuhutubia wananchi. (picha zote na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema).
Na Daniel Makaka, Sengerema.
Aliyekuwa kada wa wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya Sengerema mkoani Mwanza Bw. Fransico Kimasa Shejamabu ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho amejiunga nacho.
Kauli hiyo ameitoa mjini hapa...