Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti ya kicheko Zanzibar

Waziri wa Fedha na Uchumi wa Zanzibar, Omar Yussuf MzeeSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016 huku ikiimarisha na kuongeza kodi katika vyanzo vya mapato kutokana na washiriki wa maendeleo kupunguza misaada yao ya kibajeti.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri Zanzibar wasusia bajeti

Mawaziri wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) na Wawakilishi kutoka CUF jana walitoka kwenye kikao cha bajeti cha Baraza la Wawakilishi, wakipinga urasimu katika utoaji vitambulisho vya ukazi wa Zanzibar na uandikishaji wapigakura.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikao cha Bajeti ya Zanzibar leo

 Kikao cha majadiliano ya Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2014/2015 kitaaza leo katika Baraza la Wawakilishi kisiwani hapa, miswada miwili ya sheria itawasilishwa na kujadiliwa.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR ASOMA HUTUBA YA BAJETI YA SERIKALI LEO

 Waziri wa Fedha Mhe. Omar Yussuf Mzee akionyesha begi lenye Hutuba ya Bajeti ya Serikali ya Zanzibar ya mwaka 2014-15.   Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakifutilia Hutuba yamapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2014-15. Baadhi ya wakuu wa sekta mbali mbali pamoja na wananchi wakisikiliza Hotuba ya Waziri wa Fedha Mhe. Omar Yussuf Mzee (hayupo pichani) kuhusu mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2014-15...

 

10 years ago

Vijimambo

BAJETI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KIPAUMBELE CHAKE NI BARABARA, ELIMU, AFYA NA WAZEE

Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akizungumza na Waandishi wa habari kuhusiana na Muelekeo wa Bajeti ya mwaka 2015-2016, imetowa kipaumbele katika Sekta ya Afya Barabara na Elimu, kulia Mhasibu Mkuu wa Serekali Ndg Omar Hassan King na kushoto Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Juma Ameir, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Afya Vuga Zanzibar.
Maofisa wa WEizara ya Fedha wakifuatilia mazungumzo hayo ya Waziri Omar na Waandishi wa habari katka ukumbi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM kicheko matokeo ya Kalenga

Mgombea wa CCM, Godfrey Mgimwa anaonekana kufanya vizuri katika uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika jana katika Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kicheko kwa wajasiriamali Dodoma

Mji wa Dodoma una sifa kadhaa katika siasa na maisha ya watanzania.Mji huo utaandaa mkutano wa CCM wa kutafuta mrithi wa rais Kikwete

 

9 years ago

Mtanzania

Pochettino majanga, Mourinho kicheko

MTZ30ABDUCADO EMMANUEL NA MITANDAO

DIMBA la White Hart Lane linatarajia kuwaka moto kesho saa 9.00 alasiri kwa mchezo wa watani wa jadi wa jiji la London ‘London Derby’, wakati wenyeji Tottenham Hotspur watakapoikaribisha Chelsea katika Ligi Kuu England.

Kuelekea mchezo huo, Kocha wa Tottenham, Mauricio Pochettino, ameanza kuuona mgumu kufuatia timu yake kutopata muda mwingi wa kujiandaa ukilinganisha na Chelsea.

“Tunakabiliana na timu ngumu, katika hali hii Chelsea ambayo inazo siku tatu zaidi...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani