Kicheko kwa wajasiriamali Dodoma
Mji wa Dodoma una sifa kadhaa katika siasa na maisha ya watanzania.Mji huo utaandaa mkutano wa CCM wa kutafuta mrithi wa rais Kikwete
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Kukamilika kwa daraja la Mbweni JKT latoa kicheko kwa wananchi!
![](http://2.bp.blogspot.com/-0amyU4BLGNk/Vkv2Qu-6iSI/AAAAAAAAJMM/qOgmVVxutm0/s640/Daraja%2Bla%2Bmbweni%2Bjkt.jpg)
Daraja lililokuwa linawasumbua mno wakazi na wananchi wa Mbweni JKT, sasa linaelekea mwishoni, hali iliyoanza kuwafurahisha wananchi hao waliokuwa wakisumbuka kuvuka eneo hilo lililokuwa linajaa maji mara kwa mara yanayotoka baharini.
Katika pita pita ya mitandaoni, tuliona picha hizi ambazo tayari zimeshapokewa kwa shangwe kutokana na wananchi hao kuanza kulitumia. Ikumbukwe kwamba kutokuwapo kwa daraja hili kulileta usumbufu mkubwa kwa wananchi. Kabla ya uwapo wa daraja hili, magari...
11 years ago
Mwananchi27 May
Kicheko kwa watumiaji wa simu za mfumo wa Android
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdiPExfrYkWXkm92ixZgRqFcC4pQM*-JtJVDk8T1CV7d9vs2GIxk1X8YLUIRqZIQTKsinIKAiUqaXnZDFrBQhrPw/FRONTRISASI.jpg)
WEMA, AUNT KICHEKO KABURINI KWA NGWEA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bRmRucKquxI/VD5gDHLNwgI/AAAAAAACsy8/fVjDlEm03mc/s72-c/Asset%2BFinance%2BLaunch%2B-%2B1.jpg)
Bayport Tanzania yaleta kicheko kwa watumishi wa umma
![](http://4.bp.blogspot.com/-bRmRucKquxI/VD5gDHLNwgI/AAAAAAACsy8/fVjDlEm03mc/s1600/Asset%2BFinance%2BLaunch%2B-%2B1.jpg)
Uzinduzi huo uliofanyika jana, umeonyesha matumaini mapya ya Watanzania...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Dodoma waanzisha jukwaa la vijana wasomi, wajasiriamali
11 years ago
MichuziMOTO WATEKETEZA VIBANDA 63 VYA WAJASIRIAMALI ENEO LA JAMATINI DODOMA
======= ========= =======Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Moto mkubwa umetokea katika eneo la Jamatini Manispaa ya Dodoma na kusababisha hasara ambayo thamani yake bado haijafahamika.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi DAVID A. MISIME – SACP, amesema kuwa mnamo tarehe 11/07/2014...
10 years ago
GPLMAONYESHO YA WAJASIRIAMALI YAENDELEA VIWANJA VYA MASHUJAA MJINI DODOMA
11 years ago
GPLWADAU WAOMBWA KUDHAMINI MAONYESHO YA KAZI ZA VIJANA WAJASIRIAMALI YATAKAYOFANYIKA DODOMA
10 years ago
Dewji Blog26 May
PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar
Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).
Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.
Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...