Mawaziri Zanzibar wasusia bajeti
Mawaziri wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) na Wawakilishi kutoka CUF jana walitoka kwenye kikao cha bajeti cha Baraza la Wawakilishi, wakipinga urasimu katika utoaji vitambulisho vya ukazi wa Zanzibar na uandikishaji wapigakura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2RwpNeY_ih4/default.jpg)
10 years ago
MichuziMADIWANI MANISPAA YA MOSHI WASUSIA KIKAO CHA BAJETI
Msathiki Meya akizungumzia msimamo wake juu ya hatua ya wajumbe wa baraza hilo kutoka nje ya ukumbi wa mikutano wakimtuhumu mkurugenzi wa manispaa hiyo ,Shabani Ntarambe kujihusisha katika uporaji wa Viwanja.
11 years ago
Habarileo26 Jun
Mawaziri waipasha Kamati ya Bajeti
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya Salum na Naibu wake, Mwigulu Nchemba, wamehoji utendaji kazi wa Kamati ya Bajeti katika kuzungumzia vyanzo mbadala vya mapato na deni la Taifa sasa. Wamesema hali hiyo inaonesha jinsi kamati hiyo, ilivyo kigeugeu katika kauli zake.
10 years ago
Habarileo14 May
Bajeti ya kicheko Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016 huku ikiimarisha na kuongeza kodi katika vyanzo vya mapato kutokana na washiriki wa maendeleo kupunguza misaada yao ya kibajeti.
5 years ago
MichuziBAJETI YA FEDHA ZAIDI YA DOLA MILIONI 94 YAPITISHWA JUMUIYA YA SADC, MAWAZIRI WAWEKA MKAKATI KUKABILI CORONA...WAZIRI PROF. KABUDI ATOA NENO
JUMUIYA ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika(SADC)imepitisha bajeti ya fedha ya Dola za Marekani milioni 94,913,815 kwa mwaka 2020/ 2021.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari baada ya kikao cha Baraza la Mawaziri wa Jumuiya hiyo Katibu Mtendaji wa Jumuiya hiyo Dk.Stergomena Tac amesema fedha hizo zitatumika kwenye masuala mbalimbali yanayohusu Jumuiya.
"Pamoja na ajenda mbalimbali ambazo zimejadiliwa ,pia Jumuiya imepitisha bajeti ya fedha kwa...
11 years ago
Mwananchi14 May
Kikao cha Bajeti ya Zanzibar leo
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Utata wazidi kuhusu mawaziri Zanzibar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wf6Budnd_ZA/U3OwmkC7-nI/AAAAAAAFhwQ/D6G_Jp2iKeI/s72-c/unnamed+(82).jpg)
WAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR ASOMA HUTUBA YA BAJETI YA SERIKALI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-wf6Budnd_ZA/U3OwmkC7-nI/AAAAAAAFhwQ/D6G_Jp2iKeI/s1600/unnamed+(82).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-olj2UBQm67U/U3OwoBohniI/AAAAAAAFhwY/MlVcYLINq9o/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aOr84eBvQaA/U3OwpcXPk_I/AAAAAAAFhwg/dVJZXed7wtc/s1600/unnamed+(84).jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Katiba: Mawaziri Zanzibar wapigia kampeni kura ya ndiyo