Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri waipasha Kamati ya Bajeti

WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya Salum na Naibu wake, Mwigulu Nchemba, wamehoji utendaji kazi wa Kamati ya Bajeti katika kuzungumzia vyanzo mbadala vya mapato na deni la Taifa sasa. Wamesema hali hiyo inaonesha jinsi kamati hiyo, ilivyo kigeugeu katika kauli zake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais –Mazingira Mh. Dk. Eng. Binilith Satano Mahenge, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mawaziri wa Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Julius Nyerere Tarehe 29 Agosti 2014.… ...

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiwa ni kikao cha maridhiano kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2014. kikao hicho kiliudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Kayanza Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya. Picha kwa hisani ya Bunge  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri Zanzibar wasusia bajeti

Mawaziri wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) na Wawakilishi kutoka CUF jana walitoka kwenye kikao cha bajeti cha Baraza la Wawakilishi, wakipinga urasimu katika utoaji vitambulisho vya ukazi wa Zanzibar na uandikishaji wapigakura.

 

11 years ago

Habarileo

Kamati yapitisha bajeti ya Ujenzi

KAMATI ya Bunge ya Miundombinu, imepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka ujao wa fedha 2014/2015, ya Sh trilioni 1.2, fedha zilizoelekezwa katika matumizi ya kawaida na ya maendeleo katika wizara hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Bajeti yahofia muda wa uchambuzi

 Kamati ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza wasiwasi iwapo itapata muda wa kutosha wa kuchambua Bajeti Kuu ya Serikali ya 2014/15 kabla ya kuanza vikao vyake mapema mwezi ujao.

 

10 years ago

Habarileo

Kamati yaridhia bajeti ya Wizara ya Habari

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Albert Obama KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, imeridhia zaidi ya Sh bilioni 29.41 zilizotengwa kwa ajili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

 

10 years ago

Mwananchi

Upinzani, Kamati ya Bunge waifumua bajeti ya Elimu

>Kambi ya Upinzani Bungeni imeilipua Serikali ikihoji vigezo ilivyotumia kutoa taarifa ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), inayoonyesha kuwa sekta ya elimu imefanikiwa kwa asilimia 81 na kushika nafasi ya kwanza ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mkakati huo.

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA MIUNDOMBINU YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI


Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe akisisitiza jambo katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Miundombinu ambapo Wizara yake imewasilisha Taarifa ya utekeleaji ya bajeti ya sekta ya uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2020/2021. Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu wakiwa katika kikao cha kamati ambapo wamepokea na kujadili Taarifa ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Moto kuwaka kikao cha Kamati ya Bajeti

Moto wa mjadala wa bajeti kwa mwaka wa fedha wa 2014/15 sasa unahamia katika kikao cha ndani cha mashauriano kati ya Serikali na Kamati ya Bunge ya Bajeti kitakachofanyika kwa siku sita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani