KAMATI YA MIUNDOMBINU YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pG_X_Coq9ec/XnyQo31C9RI/AAAAAAALlF8/44tV5-CFVbsMrhlBjxnuwyKXVRcoViW6wCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe akisisitiza jambo katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Miundombinu ambapo Wizara yake imewasilisha Taarifa ya utekeleaji ya bajeti ya sekta ya uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2020/2021. Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu wakiwa katika kikao cha kamati ambapo wamepokea na kujadili Taarifa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--KOGDqrmcOI/XnoDTCpUHpI/AAAAAAALk6w/2iDhYO0iPMMl36KF4QuRSyKajfp8VKhpACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-1-1.jpg)
KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2019/21
![](https://1.bp.blogspot.com/--KOGDqrmcOI/XnoDTCpUHpI/AAAAAAALk6w/2iDhYO0iPMMl36KF4QuRSyKajfp8VKhpACLcBGAsYHQ/s640/PIC-1-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/pic-2-...jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l3u3zBbFCEQ/XnUrxUzrtRI/AAAAAAALkks/l25k3LNMqM0JE40ozZ_eCVswFFoHCZG4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1X2A8732.jpg)
WIZARA YAKUTANA NA KAMATI YA BUNGE YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2019/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-l3u3zBbFCEQ/XnUrxUzrtRI/AAAAAAALkks/l25k3LNMqM0JE40ozZ_eCVswFFoHCZG4wCLcBGAsYHQ/s640/1X2A8732.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Salim Mwinyi Rehani (mwenye suti nyeusi) wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi hayupo pichani aliyekuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ya Wizara ya mwaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uhZ6qwTRTxI/XnnvD08Qx6I/AAAAAAALk5s/MzMjdfMHvuQf4_CAtmSQjOXZkZ5iuK2lwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA WAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-uhZ6qwTRTxI/XnnvD08Qx6I/AAAAAAALk5s/MzMjdfMHvuQf4_CAtmSQjOXZkZ5iuK2lwCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-McqmpDfUt6E/XnnvGctVwVI/AAAAAAALk5w/3fVTK0izZaMaKFiBNQb6qpiHrpOr7msCgCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B2%2B%252B.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AWAONGOZA WATENDAJI WA WIZARA KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE KUWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI, BUNGENI JIJINI DODOMA, LEO
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s72-c/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YARIDHISHWA NA KASI UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s640/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
…………………………………………………………………Na Farida Said, Morogoro
Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepewa wasilisho juu ya maendeleo ya utekelezaji mradi Julius Nyerere (Mw 2115).
Wasilisho hilo limetolewa Mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa bwalo la JKT Umwema na kuhudhuriwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,...