KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA WAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-uhZ6qwTRTxI/XnnvD08Qx6I/AAAAAAALk5s/MzMjdfMHvuQf4_CAtmSQjOXZkZ5iuK2lwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri akisikiliza maoni ya wajumbe wa Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa baada ya kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti yam waka 2019/2020 pamoja na makadirio ya Mapato na Matumizi ya Mkoa wake kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021. Kikao hicho cha Kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge, Jijini Dodoma.
Mbunge wa Mpwawa, George Lubeleje ambaye ni Mjumbe wa Kamati Utawala na Serikali za Mitaa akichangia Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya mwaka 2019/2020...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--KOGDqrmcOI/XnoDTCpUHpI/AAAAAAALk6w/2iDhYO0iPMMl36KF4QuRSyKajfp8VKhpACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-1-1.jpg)
KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2019/21
![](https://1.bp.blogspot.com/--KOGDqrmcOI/XnoDTCpUHpI/AAAAAAALk6w/2iDhYO0iPMMl36KF4QuRSyKajfp8VKhpACLcBGAsYHQ/s640/PIC-1-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/pic-2-...jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
11 years ago
Michuzi16 Jun
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pG_X_Coq9ec/XnyQo31C9RI/AAAAAAALlF8/44tV5-CFVbsMrhlBjxnuwyKXVRcoViW6wCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
KAMATI YA MIUNDOMBINU YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pG_X_Coq9ec/XnyQo31C9RI/AAAAAAALlF8/44tV5-CFVbsMrhlBjxnuwyKXVRcoViW6wCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CXxMYhv4-E0/XnyQpZpyrpI/AAAAAAALlGE/Ty1v7tktil4gAKirsNy7AkAaWjEdL9PgwCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UL65mhqFQPc/XnyQqT9E29I/AAAAAAALlGI/t-_lknZdx2QCGTa6D6cccuEwNtH92oeTQCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B4.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/qMRc91R7lSg/default.jpg)
BAJETI KUU YA SERIKALI 2020-2021 ILIVYOSOMWA BUNGENI DODOMA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/rf-1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YHfxIj8fQLY/XuMd0MrUGGI/AAAAAAALthU/ttV3yvwWW7oDFKI5q-5eCP8GlGELcG-xgCLcBGAsYHQ/s72-c/3-14-768x512.jpg)
MATUKIO YA UWASILISHAJI WA MAPENDEKEZO BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-YHfxIj8fQLY/XuMd0MrUGGI/AAAAAAALthU/ttV3yvwWW7oDFKI5q-5eCP8GlGELcG-xgCLcBGAsYHQ/s640/3-14-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4-11-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--k4f-Y88o18/XnEclk2_zFI/AAAAAAALkL8/J4eu4uC8c04nGHAXR7m3tJh-ufP-mZmUgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-11AAA.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA
![](https://1.bp.blogspot.com/--k4f-Y88o18/XnEclk2_zFI/AAAAAAALkL8/J4eu4uC8c04nGHAXR7m3tJh-ufP-mZmUgCLcBGAsYHQ/s640/PIC-11AAA.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni George Mkuchika akiwasilisha mbele ya Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa Taarifa ya Mapato na Matumizi ya Mafungu ya ofisi yake kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021, kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Mary Mwanjelwa. Kikao hicho cha Kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge, Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIC-22AA.jpg)
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...
5 years ago
CCM Blog16 Jun
BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA 2020-2021 YAPITISHWA KWA KISHINDO
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/hqdefault-1.jpg)