Kamati yaridhia bajeti ya Wizara ya Habari
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, imeridhia zaidi ya Sh bilioni 29.41 zilizotengwa kwa ajili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oknu7fJWIIg/U2jsWuyuQ8I/AAAAAAAFf6o/MlO1qCGkEgQ/s72-c/unnamed+(15).jpg)
KAMATI YA BUNGE YAPITISHA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
Kamati ya Miundombinu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mapema wiki hii ilikutana na Watendaji wa Wizara ya Ujenzi kwa ajili ya kupitia maepndekezo ya bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2014/15.
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli awali kabla ya kuwasilisha mapendekezo hayo kwanza alianza kwa kutoa tarifa ya utekelezaji kwa mwaka wa fedha wa 2013/14 ambapo Wizara ya Ujenzi ilitengewa Shilingi 381,205,760,000.00 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi...
10 years ago
MichuziSERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA BAJETI WIZARA YA HABARI
10 years ago
Habarileo29 May
Wabunge walia na bajeti ndogo ya Wizara Habari
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii imeitaka Serikali kuiongezea fedha Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ili ikidhi mahitaji ya uendeshaji.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OtS5aA80y9s/XqGVIs6Z4FI/AAAAAAALoA0/UWg2B0D7pbcZuykUij06GKFYaJwh_pYhQCLcBGAsYHQ/s72-c/01..AAA_-768x512.jpg)
BILIONI 9.5 YAONGEZEKA BAJETI YA WIZARA YA HABARI 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-OtS5aA80y9s/XqGVIs6Z4FI/AAAAAAALoA0/UWg2B0D7pbcZuykUij06GKFYaJwh_pYhQCLcBGAsYHQ/s640/01..AAA_-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/02AA-1024x682.jpg)
Mbunge wa Chemba Juma Nkamia akichagangia hoja wakati wa kujadili bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2020/2021.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/03AAA-1024x682.jpg)
Wabunge wakiendelea na mjadala wa bajeti ya bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2020/2021.
10 years ago
GPLBAJETI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO ILIVYOWASILISHWA BUNGENI
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akiwasilisha bajeti ya wizara hiyo jana bungeni mjini Dodoma. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii Mhe. Said Mtanda akiwasilisha mapendekezo ya kamati yake kuhusu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa bajeti ya wizara hiyo jana mjini Dodoma.… ...
10 years ago
VijimamboYALIYOJIRI BUNGENI LEO WAKATI WA UWASILISHWAJI WA BAJETI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AWAONGOZA WATENDAJI WA WIZARA KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE KUWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI, BUNGENI JIJINI DODOMA, LEO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Www0nGjb_TE/UwyU5008XUI/AAAAAAAFPdU/GYtz16gzR_U/s72-c/unnamed+(30).jpg)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AZUNGUMZA NA KAMATI YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Www0nGjb_TE/UwyU5008XUI/AAAAAAAFPdU/GYtz16gzR_U/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QHuCA6NyH_A/UwyU55CYEpI/AAAAAAAFPdQ/3Fopj86Tf08/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
Michuzi24 Feb
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo apokea zawadi toka Kamati ya vibali vya filamu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10