Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yaifunga Kenya soka ya ufukweni

Timu Tanzania ya mpira wa ufukweni leo imeiondoa Kenya katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, kwa kuifunga kwa mabao 7-6.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaifunga Burundi wavu ufukweni Tanzania

Kenya (wanaume) imeifunga Burundi kwa seti 2-1 katika michuamo ya wavu ya ufukweni .

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania,Kenya kupambana Soka Ufukweni

Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni imeibuka kidedea baada ya kuifunga Kenya mabao 5-3

 

10 years ago

BBCSwahili

Soka Ufukweni:Tanzania, Misri kupmbana

Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni (Beach Soccer) inatarajiwa kucheza na timu ya Taifa ya Misri siku ya ijumaa

 

9 years ago

Habarileo

Mkufunzi soka la ufukweni ateta na makocha, waamuzi

MKUFUNZI wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) wa Soka la Ufukweni, Twalib Hilal amekutana na makocha, waamuzi wa mchezo wa ufukweni waliopo jijii Dar es Salaam ili kubadilishana.

 

11 years ago

Michuzi

NGORONGORO HEROES YAIFUNGA KENYA KWA PENALT 4-3

 Mshambuliaji wa Ngorongoro Heroes, Ally Bilali (kushoto), akimtoka beki wa Kenya, Geofrey Shivekwa katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, wa kuwania kufuzu fainali za Afrika kwa vijana zitakazofanyika Senegal mwakani.Ngorongoro Heroes ilishinda kwa penalti 4-3.  Mshambuliaji wa Ngorongoro Heroes, Ally Bilali (kulia), akichuana na  beki wa Kenya, Geofrey Shivekwa katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, wa kuwania kufuzu fainali za Afrika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania mwenyeji mpira wa ufukweni

Tanzania imechaguliwa na shirikisho la mpira wa wavu Afrika kuwa wenyeji wa michuano ya kanda ya Tano ya mpira wa wavu ufukweni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria

Tanzania yaifunga Nigeria kwa wiketi 3 katika michuano ya kufuzu kucheza kombe la Dunia kwa kwa wavulana chini ya miaka 19

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA YAIPIGISHA KWATA TANZANIA PRISONS, YAIFUNGA 5-0

 Beki wa Simba, Mohamed Hussein akiwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Beki wa Tanzania Prisons akichuana na mshambuliaji wa Simba.Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Tanzania Prisons 5-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mohamed Hussein wa Simba akiwania mpira na beki wa...

 

10 years ago

Vijimambo

PAZI REUNION YAWEKA HISTORIA HOUSTON, TIMU YA TANZANIA YAIFUNGA GABON 64 KWA 57

Timu ya mpira wa kikapu ya Tanzania iliyocheza mechi ya mwisho ya kuhitimisha tamasha la Pazi Reunion iliyofanyika siku ya Jumamosi March 14, 2015 na kuhudhuriwa na na Watanzania kutoka kila sehemu ya Marekani.Timu ya Gabon iliyokuja kuunga mkono Pazi Reunion na baadae kucheza mechi ya mpira wa kikapu na timu mchanganyiko ya Tanzania na kufungwa vikapu 64 kwa 57.Mmoja wa waratibu wa Pazi Reunion Vitalis Gunda (kati) akiwashukuru Atiki Matata (kushoto) na Richard Kasesela kwa kuja kushiriki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani