Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yaifunga Burundi wavu ufukweni Tanzania

Kenya (wanaume) imeifunga Burundi kwa seti 2-1 katika michuamo ya wavu ya ufukweni .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yaifunga Kenya soka ya ufukweni

Timu Tanzania ya mpira wa ufukweni leo imeiondoa Kenya katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, kwa kuifunga kwa mabao 7-6.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi,Kenya zafuzu wavu kanda ya Tano

Timu za taifa za Burundi na Kenya zimefuzu kucheza hatua ya makundi kutoka kanda ya tano ya mpira wa wavu Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Mashariki yafuzu wavu ya ufukweni

Rwanda ndio mabingwa wa michuano ya mpira wa wavu wa ufukweni kwa wanawake yaliyofanyika katika Pwani ya Mombasa, nchini Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania,Kenya kupambana Soka Ufukweni

Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni imeibuka kidedea baada ya kuifunga Kenya mabao 5-3

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuhodhi ligi ya mpira wa wavu

Tanzania imechaguliwa tena kuwa wenyeji wa michuano ya mpira wa wavu ya mataifa ya Afrika

 

11 years ago

Michuzi

NGORONGORO HEROES YAIFUNGA KENYA KWA PENALT 4-3

 Mshambuliaji wa Ngorongoro Heroes, Ally Bilali (kushoto), akimtoka beki wa Kenya, Geofrey Shivekwa katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, wa kuwania kufuzu fainali za Afrika kwa vijana zitakazofanyika Senegal mwakani.Ngorongoro Heroes ilishinda kwa penalti 4-3.  Mshambuliaji wa Ngorongoro Heroes, Ally Bilali (kulia), akichuana na  beki wa Kenya, Geofrey Shivekwa katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, wa kuwania kufuzu fainali za Afrika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania mwenyeji mpira wa ufukweni

Tanzania imechaguliwa na shirikisho la mpira wa wavu Afrika kuwa wenyeji wa michuano ya kanda ya Tano ya mpira wa wavu ufukweni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria

Tanzania yaifunga Nigeria kwa wiketi 3 katika michuano ya kufuzu kucheza kombe la Dunia kwa kwa wavulana chini ya miaka 19

 

10 years ago

BBCSwahili

Soka Ufukweni:Tanzania, Misri kupmbana

Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni (Beach Soccer) inatarajiwa kucheza na timu ya Taifa ya Misri siku ya ijumaa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani