Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waamuzi wa soka kuchuana Jan. 1

WAAMUZI wa soka mkoa wa Dar es Salaam wameandaa mechi maalumu itakayochezwa Januari 1, katika Uwanja wa Karume ili kufanya tathmini ya kazi yao kuelekea 2014. Mratibu wa mechi hiyo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mkufunzi soka la ufukweni ateta na makocha, waamuzi

MKUFUNZI wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) wa Soka la Ufukweni, Twalib Hilal amekutana na makocha, waamuzi wa mchezo wa ufukweni waliopo jijii Dar es Salaam ili kubadilishana.

 

10 years ago

GPL

IJUE HISTORIA YA KINYUNYIZIO ‘SPRAY’ INAYOTUMIWA NA WAAMUZI WA SOKA

Huyu ndiye mtengenezaji wa aina mpya ya kinyunyizio ‘9-15’, Muargentina Pablo Silva. Kinyunyizio hicho kikitumika katika baadhi ya mechi.…

 

11 years ago

Michuzi

WADAU WA SOKA WAMUNZI MAREHEMU OMARY CHANGA KWA BONANZA LA SOKA

Wadau mbali mbali wa mchezi wa Soka jijini Dar es Salaam,leo wamekutana pamoja kwenye viwanja vya Tabata Shule katika Bonanza la kumuenzi Marehemu Omary Changa (pichani) aliyewahi kuwa Mchezaji katika timu za Yanga,JKT Ruvu,Kagera Suger pamoja na Moro United aliefariki dunia mwezi uliopita.Bonanza hilo limefanyika maalum kwa ajili ya kuchangisha fedha za kuisaidia familia ya Marehemu Changa ikiwa ni pamoja na kuweza kufanikisha kisomo cha Arobaini yake.  Mshambuliaji wa Pembeni wa timu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwambusi alalamikia waamuzi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema mdudu mbaya anayefanya kiwango cha soka nchini kishindwe kukua ni waamuzi wasiokuwa wadilifu katika uchezeshaji wao hasa kwa timu ndogo zinazoibuka na kuonyesha ushindani mkubwa dhidi ya timu kubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Waamuzi wamshangaa Kibaden

>Dar es Salaam. Uongozi wa Chama cha Waamuzi wa soka Tanzania ‘FRAT’ umemshangaa Kocha Mkuu wa Simba, Abdallah Kibaden kutokana na shutuma alizokuwa akizitoa juu ya mwamuzi, Mohamed Theofile baada ya kumalizika kwa mechi ya Ligi Kuu iliyokutanisha timu hiyo na Kagera Sugar juzi Alhamisi katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Waamuzi 16 kuchezesha Mapinduzi

JUMLA ya waamuzi 16 na makamishna wanne wanatarajiwa kuchezesha michuano ya kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza keshokutwa mjini hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

PHD kuizindua ‘The One’ Jan. 8

STAA wa filamu na muziki wa Bongo Flava, Hemed Suleiman ‘PHD’, anatarajiwa kufanya uzinduzi wa kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘The One’, katika ukumbi wa Maisha Club jijini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Moyes awalalamikia waamuzi England

Meneja wa Manchester United, David Moyes amewashutumu waamuzi kuwa wanaionea timu yake katika michezo dhidi ya timu pinzani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani