Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moyes awalalamikia waamuzi England

Meneja wa Manchester United, David Moyes amewashutumu waamuzi kuwa wanaionea timu yake katika michezo dhidi ya timu pinzani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Fabiola Awalalamikia Mastaa Kuwachuna

UKWELI hali ya soko la filamu changamoto ni nyingi kuliko mafanikio kwa watengenezaji wa filamu hawa watayarishaji wachanga, mmoja kati ya waathirika waliopata usumbufu ni Fabiola Hondi anakutana na karaha kama si usumbufu kutoka kwa wasanii wakubwa.

“Watayarishaji wapya tunanyanyaswa sana na baadhi ya wasanii wakubwa, unaweza kumlipa msanii mkubwa pesa mliyopatana lakini inakutoka pesa nyingine kumkamata afanye kazi yako na wanataka pesa nyingi, lakini wakichezeshwa na wasanii wenzao...

 

9 years ago

Africanjam.Com

SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR

Wayne Rooney has been named England Player of the Year for 2015, retaining the title he won in 2014.The Manchester United forward earned 37% of the votes cast by members of the England Supporters Club and has now won it four times.England captain Rooney, 30, scored five goals last year, overtaking Sir Bobby Charlton as England's record goalscorer during Euro 2016 qualification.Stoke City goalkeeper Jack Butland was voted Under-21 Player of the Year.In the vote for the senior player of the...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwambusi alalamikia waamuzi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema mdudu mbaya anayefanya kiwango cha soka nchini kishindwe kukua ni waamuzi wasiokuwa wadilifu katika uchezeshaji wao hasa kwa timu ndogo zinazoibuka na kuonyesha ushindani mkubwa dhidi ya timu kubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Waamuzi wamshangaa Kibaden

>Dar es Salaam. Uongozi wa Chama cha Waamuzi wa soka Tanzania ‘FRAT’ umemshangaa Kocha Mkuu wa Simba, Abdallah Kibaden kutokana na shutuma alizokuwa akizitoa juu ya mwamuzi, Mohamed Theofile baada ya kumalizika kwa mechi ya Ligi Kuu iliyokutanisha timu hiyo na Kagera Sugar juzi Alhamisi katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Waamuzi 16 kuchezesha Mapinduzi

JUMLA ya waamuzi 16 na makamishna wanne wanatarajiwa kuchezesha michuano ya kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza keshokutwa mjini hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Spray’ za waamuzi zatarajiwa kuvutia

Kila mara fainali za Kombe la Dunia 2014 zinapofanyika huwa kuna kitu kipya, iwe kwenye kanuni, taratibu za uendeshaji, aina za ushangiliaji na kwa wachezaji huwa ni mitindo mbalimbali ya kuanzia uvaaji, staili za nywele na staili za uchezaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waamuzi wa Tanzania wateuliwa na CAF

CAF limewateua waamuzi wa kike wa Tanzania kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia U-20 mwaka 2016 kati ya Congo DR dhidi ya Gabon.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Azam alia na waamuzi

KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwa makini na waamuzi akidai wanaharibu mechi za Ligi Kuu kwa kuzipendelea baadhi ya timu. Hall aliyasema hayo baada ya mchezo dhidi ya Yanga juzi uliomalizika kwa sare ya 1-1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani