Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fabiola Awalalamikia Mastaa Kuwachuna

UKWELI hali ya soko la filamu changamoto ni nyingi kuliko mafanikio kwa watengenezaji wa filamu hawa watayarishaji wachanga, mmoja kati ya waathirika waliopata usumbufu ni Fabiola Hondi anakutana na karaha kama si usumbufu kutoka kwa wasanii wakubwa.

“Watayarishaji wapya tunanyanyaswa sana na baadhi ya wasanii wakubwa, unaweza kumlipa msanii mkubwa pesa mliyopatana lakini inakutoka pesa nyingine kumkamata afanye kazi yako na wanataka pesa nyingi, lakini wakichezeshwa na wasanii wenzao...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Moyes awalalamikia waamuzi England

Meneja wa Manchester United, David Moyes amewashutumu waamuzi kuwa wanaionea timu yake katika michezo dhidi ya timu pinzani

 

10 years ago

Dewji Blog

Askari Fabiola apongezwa kwa kutwaa medali Kilimanjaro Marathon 2015

DSC04265

Mshindi wa Kilimanjaro marathon 2015 WP 4615 CPL Fabiola William wa jeshi la polisi mkoa wa Singida (katikati) akipunga mkono akiwa kwenye msafara uliompokea ukielekea ofisini kwa kamanda wa polisi mkoa wa Singida. WP Fabiola amezaliwa kata ya Ilongero jimbo la Singida kaskazini kata ambayo pia Inspekta Jenerali wa Jeshi la polisi nchini, Ernest Mangu ndiko alikozaliwa.

Na Nathaniel Limu, Singida

JESHI la polisi mkoa wa Singida,limeahidi kuendelea kuwahimiza na kuwahamasisha askari wake...

 

10 years ago

GPL

ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME

Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!

"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini  na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.

Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani