Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PHD kuizindua ‘The One’ Jan. 8

STAA wa filamu na muziki wa Bongo Flava, Hemed Suleiman ‘PHD’, anatarajiwa kufanya uzinduzi wa kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘The One’, katika ukumbi wa Maisha Club jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kingzilla kuizindua ‘Zillax’ Januari

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini, Golden Jacob ‘Godzilla’ au ‘Kingzilla’ anatarajiwa kuzindua albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Zillax’, Januari 5 mwakani ambapo ataunganisha na sherehe za...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Binti wa Nkurumah kuizindua ACT


NA MARIAM MZIWANDA
MTOTO wa Rais wa Kwanza wa Ghana, Dk. Kwame Nkurumah, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha CPP, Samia Nkrumah, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa chama cha ACT-Tanzania.
Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika Machi 27-29, mwaka huu, jijini Dar es Salaam ambapo pia mkutano mkuu wa kwanza wa chama hicho utafanyika.
Samia, ambaye ameandika historia ya kuwa mwenyekiti wa kwanza mwanamke mwenye uwezo wa kuongoza chama kikubwa cha siasa nchini Ghana, atazungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kozi ya urefa Mvomero Jan. 2

KOZI ya waamuzi wa soka wilayani Mvomero mkoani Morogoro, inatarajiwa kuanza Januari 2 mwakani na kushirikisha wadau mbalimbali wilayani humo. Akizungumza na Tanzania Daima hivi karibuni, Ofisa Habari wa kampuni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuzo za mabondia sasa Jan. 25

ZILE tuzo za mabondia na waandishi wa habari waliofanya vema mwaka 2013 sasa zinatarajiwa kutolewa jijini Dar es Salaam, Januari 25. Awali tuzo hizo zilikuwa zitolewe Desemba 28 mwaka jana,...

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON kutimua vumbi Jan.17

Fainali za michuano ya kombe la Mataifa ya afrika inatarajiwa kuanza kutimua vumbi nchini Guinea kesho January 17,2015 .

 

9 years ago

TheCitizen

We will not observe Jan 12 event-CUF

CUF has said it will not take part in Zanzibar’s Revolution Day anniversary celebrations until the decision  of the Zanzibar electorate expressed through the October 25 General Election is respected.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waamuzi wa soka kuchuana Jan. 1

WAAMUZI wa soka mkoa wa Dar es Salaam wameandaa mechi maalumu itakayochezwa Januari 1, katika Uwanja wa Karume ili kufanya tathmini ya kazi yao kuelekea 2014. Mratibu wa mechi hiyo,...

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Jan B f/ Marley — My Life

1941219_1517369731918312_532821997_n

Rapper Jan B amerejea tena na wimbo wake mpya ‘My Life’ aliomshirikisha Marley. Usikilize hapo chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Jan B f/ Obi — Hustle Everyday

Rapper Jan B ameachia ngoma yake ‘Hustle Everyday’ aliyomshirikisha Obi. Isikilize au kudownload hapo chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani