Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kingzilla kuizindua ‘Zillax’ Januari

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini, Golden Jacob ‘Godzilla’ au ‘Kingzilla’ anatarajiwa kuzindua albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Zillax’, Januari 5 mwakani ambapo ataunganisha na sherehe za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

PHD kuizindua ‘The One’ Jan. 8

STAA wa filamu na muziki wa Bongo Flava, Hemed Suleiman ‘PHD’, anatarajiwa kufanya uzinduzi wa kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘The One’, katika ukumbi wa Maisha Club jijini...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Binti wa Nkurumah kuizindua ACT


NA MARIAM MZIWANDA
MTOTO wa Rais wa Kwanza wa Ghana, Dk. Kwame Nkurumah, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha CPP, Samia Nkrumah, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa chama cha ACT-Tanzania.
Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika Machi 27-29, mwaka huu, jijini Dar es Salaam ambapo pia mkutano mkuu wa kwanza wa chama hicho utafanyika.
Samia, ambaye ameandika historia ya kuwa mwenyekiti wa kwanza mwanamke mwenye uwezo wa kuongoza chama kikubwa cha siasa nchini Ghana, atazungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amini mzigoni Januari 6

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, kutoka nyumba ya kukuza vipaji Tanzania (THT), Amin Mwinyimkuu ‘Amin’ amesema Januari 6 mwakani anaanza kushuti video ya ngoma yake ya ‘Usinipe Robo’...

 

11 years ago

GPL

Safari ya Boban Oman Januari 5

Haruna Moshi ‘Boban’. Na Martha Mboma
KIKOSI cha Coastal Union kinatarajia kuondoka nchini Januari 5, mwakani kuelekea Oman kwa ajili ya kuweka kambi ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Ofisa Habari wa Coastal, Hafidhi Kido amesema kuwa timu hiyo wameweka mikakati mizuri kwa ajili ya kambi hiyo, ambapo wataondoka na wachezaji kadhaa akiwemo Haruna Moshi ‘Boban’ ambaye ni kiungo...

 

10 years ago

Mwananchi

Daladala za njia ndefu Januari 15

Wadau wa huduma za usafiri jijini Arusha wamepitisha rasmi azimio la kuanzisha usafiri wa daladala wa njia ndefu ifikapo Januari 15 mwakani kwa lengo la kuondoa msongamano.

 

10 years ago

Vijimambo

JANUARI MAKAMBA AFUNIKA LOWASA

 NAIBU Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba ambaye ni mmoja wa makada wa CCM waliotangaza nia ya kuwania kuteuliwa kuwania Urais, ameibuka na ubunifu wa kisasa katika namna ya kutangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, kitu ambacho endapo kitafanikiwa atakuwa amemfunika Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa ambaye kwa sasa ndiye gumzo miongoni mwa makada waliojitokeza.Edward Lowassa.Januari, ambaye ni mtoto wa Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, mzee Yussuf Makamba, jana katika...

 

9 years ago

Mwananchi

Hatima ya Duni kujulikana Januari

Mwanasiasa mkongwe nchini, Juma Duni Haji amesema hatima yake ya kubakia au kuondoka ndani ya Chadema itajulikana mwezi ujao.

 

9 years ago

Dewji Blog

Dondoo za Magazeti leo Januari 6

top_story_stopimage

SIMU.TV:  Mbunge UKAWA azuia bomoa bomoa Dar, Basi laua 4 na kujeruhi 33. Pata dondoo za magazeti ya leo hapa.  https://youtu.be/d8XiGPe8RQ8 

SIMU.TV:  Siku 60 tofauti ya Ikulu ya Kikwete na Magufuli, Dodoma wamuaga polisi aliyekufa maji na familia yake. Pata dondoo hizi hapa.   https://youtu.be/oh9E7-Vtk2M

SIMU.TV:  Mawaziri wa JPM Watumbua majipu, Dkt. Mwakyembe ajilipua atoboa madhambi ya mahakimu, makarani, polisi na magereza.   https://youtu.be/-Xai70SMThE

SIMU.TV:  TFF Yampeleka...

 

9 years ago

Mtanzania

Suma G kutoka na Hang Over Januari

sumaNA BADI MCHOMOLO, DAR ES SALAAM

MKALI wa muziki wa kundi la Hot Pot Family, Ismail Self ‘Suma G’, amesema Januari mwanzoni anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao unajulikana kwa jina la Hang Over.

Msanii huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Muulize Meneja’, amedai kwamba kutokana na ushindani uliopo kwenye muziki kwa sasa, lazima ujipange ili kushindana nao.

“Mwaka 2016 nilitaka kuanza kwa kasi kwa kuwa nimejipanga ili kwenda sawa na ushindani uliopo kwa sasa.

“Kuanzia Januari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani