Kingzilla kuizindua ‘Zillax’ Januari
NYOTA wa muziki wa hip hop nchini, Golden Jacob ‘Godzilla’ au ‘Kingzilla’ anatarajiwa kuzindua albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Zillax’, Januari 5 mwakani ambapo ataunganisha na sherehe za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
PHD kuizindua ‘The One’ Jan. 8
STAA wa filamu na muziki wa Bongo Flava, Hemed Suleiman ‘PHD’, anatarajiwa kufanya uzinduzi wa kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘The One’, katika ukumbi wa Maisha Club jijini...
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Mar
Binti wa Nkurumah kuizindua ACT
NA MARIAM MZIWANDA
MTOTO wa Rais wa Kwanza wa Ghana, Dk. Kwame Nkurumah, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha CPP, Samia Nkrumah, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa chama cha ACT-Tanzania.
Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika Machi 27-29, mwaka huu, jijini Dar es Salaam ambapo pia mkutano mkuu wa kwanza wa chama hicho utafanyika.
Samia, ambaye ameandika historia ya kuwa mwenyekiti wa kwanza mwanamke mwenye uwezo wa kuongoza chama kikubwa cha siasa nchini Ghana, atazungumza na...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Amini mzigoni Januari 6
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, kutoka nyumba ya kukuza vipaji Tanzania (THT), Amin Mwinyimkuu ‘Amin’ amesema Januari 6 mwakani anaanza kushuti video ya ngoma yake ya ‘Usinipe Robo’...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N42gP59Bvv7EiarTJjjImCh-99nthLBmH-T9hQLC59RfKXyFLhsllz0aOQm5fe*CjD8MpNjYnxRRlxCBsJPIgyQ/boban.gif?width=650)
Safari ya Boban Oman Januari 5
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Daladala za njia ndefu Januari 15
10 years ago
Vijimambo08 Jun
JANUARI MAKAMBA AFUNIKA LOWASA
![](http://api.ning.com/files/QmRFQRFpoATkG0L2pXVIFSfdoYQDFpqEHimOxHpAdVF1Fbsu4zsrk57zon8wwsmUbD0H1rRCFHp18fqrmYMuV49buypbzn5u/makamba.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/QmRFQRFpoASgvu-XDFBnYQ3q4sg7Tu9aS75zcmUagSA8yWiARPbxmpP5WZeKjmN9mA3ZaSInlCCSts3Ggna-*SoScFAMdat7/Elowassa.jpg?width=650)
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Hatima ya Duni kujulikana Januari
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Dondoo za Magazeti leo Januari 6
SIMU.TV: Mbunge UKAWA azuia bomoa bomoa Dar, Basi laua 4 na kujeruhi 33. Pata dondoo za magazeti ya leo hapa. https://youtu.be/d8XiGPe8RQ8
SIMU.TV: Siku 60 tofauti ya Ikulu ya Kikwete na Magufuli, Dodoma wamuaga polisi aliyekufa maji na familia yake. Pata dondoo hizi hapa. https://youtu.be/oh9E7-Vtk2M
SIMU.TV: Mawaziri wa JPM Watumbua majipu, Dkt. Mwakyembe ajilipua atoboa madhambi ya mahakimu, makarani, polisi na magereza. https://youtu.be/-Xai70SMThE
SIMU.TV: TFF Yampeleka...
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Suma G kutoka na Hang Over Januari
NA BADI MCHOMOLO, DAR ES SALAAM
MKALI wa muziki wa kundi la Hot Pot Family, Ismail Self ‘Suma G’, amesema Januari mwanzoni anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao unajulikana kwa jina la Hang Over.
Msanii huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Muulize Meneja’, amedai kwamba kutokana na ushindani uliopo kwenye muziki kwa sasa, lazima ujipange ili kushindana nao.
“Mwaka 2016 nilitaka kuanza kwa kasi kwa kuwa nimejipanga ili kwenda sawa na ushindani uliopo kwa sasa.
“Kuanzia Januari...