Daladala za njia ndefu Januari 15
Wadau wa huduma za usafiri jijini Arusha wamepitisha rasmi azimio la kuanzisha usafiri wa daladala wa njia ndefu ifikapo Januari 15 mwakani kwa lengo la kuondoa msongamano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 Mar
Njia 60 za daladala Dar kusitishwa
NJIA 64 za magari ya daladala jijini Dar es Salaam zitakoma kutumika kutokana na kuanza kwa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART).
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gWHdCms57VE/XkrQRxcOVtI/AAAAAAABmSw/Oj6neK4rEcU2jtGzriD31aezr62Gl39gACLcBGAsYHQ/s72-c/19384857041_637b065b23_b.jpg)
NJIA, VITUO VYA DALADALA JIJININ MWANZA VYABADILISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gWHdCms57VE/XkrQRxcOVtI/AAAAAAABmSw/Oj6neK4rEcU2jtGzriD31aezr62Gl39gACLcBGAsYHQ/s640/19384857041_637b065b23_b.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amelieleza Mwananchi leo Jumatatu Februari 17, 2020 kwamba mabadiliko hayo yameanza Februari 15, 2020.
Amesema yanalenga kuondoa msongamano katikati ya mji, hasa eneo la barabara ya Pamba ambako unaendelea ujenzi wa soko kuu jipya.
“Tunataka kusiwepo msongamano wa daladala zinazosimama kupakia na kushusha katika...
9 years ago
GPLDALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR
5 years ago
Bongo514 Feb
Sumatra yatoa ufafanuzi wa nauli za daladala kwa njia ya Makumbusho-Mnazi Mmoja
Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imetolea ufafanuzi wa nauli za daladala kwa njia ya Makumbusho- Mnazi mmoja kupitia Kambarage, Shekilango na Kigogo.
Ifuatayo ni taarifa ya mchanganuo wa nauli za daladala katika maeneo hayo;
Na Emmy Mwaipopo
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!Share on Whatsapp
9 years ago
MichuziDALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR ES SALAAM LEO ASUBUHI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Maisha safari ndefu
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Safari bado ni ndefu - Msama
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Pam D: Nikivaa nguo ndefu nawashwa
Mwanamuziki anayefanya poa kwenye game, Pam D.
Mwanamuziki anayefanya poa kwenye game, Pam D amesema watu wasimshangae kwa kupenda kuvaa nguo fupi hasa vipensi kwa kuwa, eti akivaa nguo ndefu anawashwa na kukosa amani.
Mwanadada huyo aliiambia safu hii kuwa, kuna ambao wanaweza kumtafsiri tofauti na kumuita majina mabaya lakini yeye hajali kwani ni mwanamuziki anayejitambua.
“Nikivaa nguo ndefu yaani utanionea huruma, nitawashwa na nitajikuna sana, lakini nikivaa kipensi hivi au hata kama ni...
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Sili asababisha foleni ndefu Marekani