Amini mzigoni Januari 6
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, kutoka nyumba ya kukuza vipaji Tanzania (THT), Amin Mwinyimkuu ‘Amin’ amesema Januari 6 mwakani anaanza kushuti video ya ngoma yake ya ‘Usinipe Robo’...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YvF9Axv7IMTqNvNZOhRfE1wb4-n51-rbqtXYtGeZHJD8bNMckvf19tdu2k*3pafV0tQbMbHUdB8Gk167q1uW1S2/EXTRABONGO3.jpg?width=650)
EXTRA BONGO MZIGONI
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Picha: Arudi Mzigoni
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amerudi tena mbele ya kamera baada ya kuadimika kwa miezi kadhaa. Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Lulu ame-share nasi picha akiwa yupo lokesheni akishoot filamu na kuandika kuwa amerudi kufanya kazi.
Mashabiki wengi wa filamu walionyesha ku-miss sana mwanadada huyu ambae kipajichake cha kuigiza niling’ara tangu utotoni, kwani ni takribani miezi saba imepita tangu kazi yake ya mwisho “MAPENZI YA MUNGU” ambapo moja kati ya washiriki katika...
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
Baadhi ya picha za D.A.D, Wema na Van Vicker Mzigoni
Hizi ni baadhi ya picha za ndani ya movie mpya ya mwigizaji Wema Sepetu “Madam”akishirikiana na wigizaji wa Ghana, Van Vicker inayoitwa Day After Death (D.A.D).
Madam ametua leo hapa Bongo akitokea nchini Ghana ambako kazi hii imefanyika kule.
Tusubiri mzigo wenyewe!!!.
10 years ago
Bongo Movies10 Jun
Picha: Lulu Arudi Mzigoni Baada ya Kuadimika
Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye kwa muda sasa hajaonekana mbele ya kamera za kurekodi movies, leo kupitia ukurasa wake mtandaoni ame-share nasi picha hiyo hapo juu akiwa lokesheni waki-shoot Movie huku akionekana mwenye nguvu na furaha.
“Back to Work...Doing wat I always Do Best..! On Set", Lulu aliandika kwenye picha hiyo.
Hongera saba Lulu kwa kurudi kazini, mashabiki wako naamni wamefarijika na hii
10 years ago
Bongo Movies09 Mar
Riyama na Keisha Mzigoni Kupinga Mauaji ya Albino!!
Takribani kwa wiki mzima sasa Staa wa Bongo Movies, Riyama amekuwa akitoa ujumbe mzito akiitaka jamii kuacha na kupinga mauaji huku akisisitiza upendo kwa ndugu zetu mwenye ulemavu wa ngozi (Albinos) kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.
Siku ya jana Riyama alibandika picha hiyo hapo juu akiwa na mwanamziki Keisha ambae ni mlemavu wa ngozi na kuandika kuwa wapo kazini, kitu ambacho mashabiki wake wengi walijiongeza kuwa Riyama na Keisha watakuwa Lokeshani wakitengeneza...
9 years ago
Bongo Movies21 Nov
Irene Uwoya Arudi Mzigoni na Kutoa Fursa Hii
Baada ya mikikimikiki ya uchaguzi kuisha, Staa mrembo wa Bongo Movies ambate alikuwa akiwania nasi ya Ubunge kupitia viti maalum , Irene Uwoya amerudi tena kwenye fani yake na sasa yupo kwenye maadalizi ya kazi yake mpya.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram Uwoya ameandika
"Habari zenu wapendwa!kuna movie mpya naaandaa…tunahitaji wasanii wapya wakike na wakiume…ambao hawajawahi kuigiza! kunamaswali tutauliza ukipita utaitwa kwajili ya form na mahojiano zaidi…swali la...
10 years ago
Bongo Movies23 Jul
Picha: Riyama Akiwa Mzigoni ‘Akishuti’ Kazi Yake Mpya
Hizi ni baadhi ya picha za mkali wa bongo movies, Riyama Ally alizo-share nasi kupitia ukurasa wake mtandaoni zikimuonyesha akiwa anashoot filamu yake mpya.
“Naipenda sana kazi yangu Mungu ibariki...”Riyama aliandika kwenye picha hiyo hapo juu.
Hongera kwa kazi
10 years ago
Bongo Movies15 May
Baada ya Kupotea kwa Muda: Wema Sepetu Arudi tena Mzigoni Akiwa na JB
Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameshare nasi kipande kidogo cha video ya kazi mpya inayokwenda kwa jina la Chungu Cha Tatu akiwa na Staa mwenzake, Jacob Stephen 'JB' wakiwa 'lokesheni'.
Kwa muda mrefu sasa Wema Sepetu amekuwa afanyi filamu, Bila shaka mashabiki wake wana hamu kubwa sana ya kumuona tena kwenye filamu.
Jionee kipande cha kazi hiyo HAPA