Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Riyama Akiwa Mzigoni ‘Akishuti’ Kazi Yake Mpya

Hizi ni baadhi ya picha za mkali wa bongo movies, Riyama Ally alizo-share nasi kupitia ukurasa wake mtandaoni  zikimuonyesha akiwa anashoot filamu yake mpya.

“Naipenda sana kazi yangu Mungu ibariki...”Riyama aliandika kwenye picha hiyo hapo juu.

Hongera kwa kazi

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Director Hanscana aanza kuringishia matunda ya kazi yake, apost picha akiwa ametandaza milioni kadhaa

Director Hanscana aliyefanya video mpya ya Vanessa Mdee na Barnaba ‘Siri’ , ameanza kuonesha cheche zinazoashiria kuwa kukaa kwake nyuma ya kamera sasa kumeanza kuzaa matunda. Hanscana (kulia) akiwa na Enos Olik wa Kenya (kushoto) Baada ya kushoot video ya wimbo mpya wa Diamond Platnumz na Khadija Kopa wiki hii, Hanscana amepost picha kadhaa akiringishia […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama na Keisha Mzigoni Kupinga Mauaji ya Albino!!

Takribani kwa wiki mzima sasa Staa wa Bongo Movies, Riyama amekuwa akitoa ujumbe mzito akiitaka  jamii kuacha na kupinga mauaji huku akisisitiza upendo kwa ndugu zetu mwenye ulemavu wa ngozi  (Albinos)  kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.

Siku ya jana  Riyama alibandika picha hiyo hapo juu akiwa na mwanamziki Keisha ambae ni mlemavu wa ngozi na kuandika kuwa wapo kazini, kitu ambacho mashabiki wake wengi  walijiongeza kuwa Riyama  na Keisha watakuwa Lokeshani wakitengeneza...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dhana: Kazi Mpya ya Riyama, Kaa Mkao wa Kula

Mwaka ndio huo tumeshauanza, na kazi ndio hizi zipo jikoni karibu kutoka, Hii ni ya mwigizaji anaesifiwa kwa kuvaa vizuri (kwa heshima) sio mwigine ni, Rihaya Ally, filamu inaitwa Dhana,kwamaneno mafupi  akizungumzia ujio wa filamu hii Riyama alisema;

“Dhana....... Mbayaaaaaaaaaa!! Kazini kazi ya mikono yangu wadau kaeni mkao wakula”

Tukae mkao wa kula,tuisubiri

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kupotea kwa Muda: Wema Sepetu Arudi tena Mzigoni Akiwa na JB

Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameshare nasi kipande kidogo cha video ya kazi mpya  inayokwenda kwa jina la  Chungu Cha Tatu akiwa na Staa mwenzake, Jacob Stephen  'JB' wakiwa 'lokesheni'.

Kwa muda mrefu sasa Wema Sepetu amekuwa afanyi filamu, Bila shaka mashabiki wake wana hamu kubwa sana ya kumuona tena kwenye filamu.

Jionee kipande cha kazi hiyo  HAPA

 

 

11 years ago

GPL

Kocha mpya Stars aanza kazi akiwa Ulaya

 Martinus Ignatius "Mart" Nooij. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Mpya wa kikosi cha timu ya taifa (Taifa Stars), ameanza kazi yake hiyo akiwa bado nyumbani kwao Uholanzi barani Ulaya. Martinnus Ignatius Nooij ametuma programu kwa ajili ya kuwaendeleza vijana wa kikosi cha Taifa Stars kinachojengwa ambacho kimeweka kambi mjini Tukuyu. Mart amewahi kuinoa timu ya taifa chini ya miaka 20 ya Burkina Faso na kubwa ya Msumbiji na ndiyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Arudi Mzigoni

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amerudi tena mbele ya kamera baada ya kuadimika kwa miezi kadhaa. Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Lulu ame-share nasi picha akiwa yupo lokesheni akishoot filamu na kuandika kuwa amerudi kufanya kazi.

Mashabiki wengi wa filamu walionyesha ku-miss sana mwanadada huyu ambae kipajichake cha kuigiza niling’ara tangu utotoni, kwani ni takribani miezi saba imepita tangu kazi yake ya mwisho “MAPENZI YA MUNGU” ambapo moja kati ya washiriki katika...

 

9 years ago

Bongo5

Picha mpya za Justin bieber akiwa mtupu zasambaa mtandaoni (18+)

Tumezoea kuona mastaa wa kike wakipozi na kukipiga picha za utupu kwaajili ya matoleo ya majarida mbalimbali ambayo huwalipa mkwanja mrefu kufanya hivyo ili wauze majarida yao. Lakini safari hii ni staa wa kiume Justin Bieber ndiye ametawala vichwa vya habari baada ya picha zake akiwa mtupu kusambaa mtandaoni. Kwa mujibu wa Huffington Post picha […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha ya Mwaka 1997 ya Monalisa Akiwa Mama Yake ‘Natasha Mamvi’, Yawafurahisha Wengi

Picha ya kitambo ya Staa wa bongo Movies, Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ akiwa na mama yake mzazi ambaye pia ni staa wa Bongo Movies, Susan Lewis ‘Natasha’ aliyowekwa na Monalisa kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram imewafurahisha mashabiki wao wengi na kutupia komenti za kicheko na kuwasuifia kwa jinsi walivyotokelezea .

Monalisa alibandika picha hiyo hapo juu na kueleza kuwa hiyo ilikuwa ni mwaka 1997.

“Haya nyie si wajuaji wa kucheka?chekeni sasa hadi mchoke,itaneni weeeee...

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: KIM KARDASHIAN NA PHOTOSHOOT NYINGINE MPYA ZA UTUPU AKIWA JANGWANI (18+)


Sio mara yako ya kwanza kuona picha za Kim Kardashian akiwa mtupu kwenye majarida mbalimbali na mitandao ya kijamii, hapa kuna nyingine nne akiwa kwenye photoshoot mpya inayofuata kwasasa ambayo amefanyia  Jangwani.






 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani