Kocha mpya Stars aanza kazi akiwa Ulaya
![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY2RNRSbnE3LzsCkOifBEScO1*2uJahClHcDRRQN-lBkq1cDLAIBpFvbw8DzEpHQfpEOShelYq6N4aJg9jjQ*qHb/MartNooij.jpg?width=750)
 Martinus Ignatius "Mart" Nooij. Na Mwandishi Wetu KOCHA Mpya wa kikosi cha timu ya taifa (Taifa Stars), ameanza kazi yake hiyo akiwa bado nyumbani kwao Uholanzi barani Ulaya. Martinnus Ignatius Nooij ametuma programu kwa ajili ya kuwaendeleza vijana wa kikosi cha Taifa Stars kinachojengwa ambacho kimeweka kambi mjini Tukuyu. Mart amewahi kuinoa timu ya taifa chini ya miaka 20 ya Burkina Faso na kubwa ya Msumbiji na ndiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Kocha mpya Toto Africans aanza kazi kwa mikwara
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s72-c/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
Kocha mpya wa Man United Louis van Gaal aanza kazi kwa mikwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s1600/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
"Msimu uliopita mmemaliza ligi mkiwa nafasi ya saba kwa hiyo nyie sio klabu kubwa duniani. Mnahitaji kujidhihirisha wenyewe, ingawa dunia nzima wanazungumzia Manchester United - hiyo ndio tofauti", alisema.
"Hii ni changamoto kubwa na ndio maana...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Naibu Katibu Mkuu mpya Mambo ya Ndani aanza kazi rasmi na kuwataka watumishi kutekeleza kauli mbiu ya “Hapa Kazi Tu”
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi mara baada ya kuanza kazi rasmi katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE, Obedi Mbaga.
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano...
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA KUWATAKA WATUMISHI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU”
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA MPYA STARS
11 years ago
Bongo524 Jul
Kocha mpya wa Man U, Van Gaal aanza vizuri kibarua chake, waiadhibu Angeles Galaxy 7-0
10 years ago
Bongo528 Feb
Picha: Director Hanscana aanza kuringishia matunda ya kazi yake, apost picha akiwa ametandaza milioni kadhaa
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Taifa Stars yapata kocha mpya