Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatima ya Duni kujulikana Januari

Mwanasiasa mkongwe nchini, Juma Duni Haji amesema hatima yake ya kubakia au kuondoka ndani ya Chadema itajulikana mwezi ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hatima ya Rage kujulikana leo

>Hatma ya Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage itajulikana leo wakati kamati ya utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya mwenyekiti wake Jamal Malinzi atakapokutana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Hatima ya Zanzibar bado kujulikana

Waswahili husema jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Msemo huo unaweza usiwe na maana kwa watu wengine, lakini siyo wananchi wa Zanzibar, waliojikuta wakipoteza ndoto ya kumpata rais waliyemchagua baada ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufuta matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 visiwani humo.

 

10 years ago

Mtanzania

Hatima ya Mrema TLP kujulikana leo

mrmNa Michael Sarungi, Asifiwe George,Dar es Salaam
HATIMA ya Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Agustine Mrema kuendelea kuongoza chama hicho inatarajiwa kujulikana leo baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kuingilia kati.
Hatua hiyo imekuja baada ya kundi la wanachama wa TLP kuandika barua ya malalamiko kutaka kufanyika kwa uchaguzi wa ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.
Malalamiko hayo yamemlazimu msajili kuingilia kati na kuziita pande mbili...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hatima ya mwili wa Mawazo kuagwa ama kutoagwa Jijini Mwanza kujulikana leo

Na:George Binagi-GB Pazzo wa Binagi Media Group

Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza leo imeahirisha kesi ya madai ya kuomba ridhaa ya kufanya ibada ya Mazishi ya aliekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoani Geita Marehemu Alphonce Mawazo iliyowasilishwa na Mchungaji Charles Lugiko ambae ni baba mlezi wa marehemu Mawazo

Katika kesi hiyo, mlalamikaji anaiomba mahakama kuondoa zuio la jeshi la polisi Mkoani Mwanza la kutoruhusu shughuli ya kuuaga mwili wa marehemu Mawazo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Makazi duni Nigeria: Makazi duni Lagos yako juu ya maji

Mamilioni ya raia wa Nigeria wanaishi katika maisha duni kupita kiasi.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Pinda kujulikana Aprili 17

HATIMA ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu Mizengo Pinda itajulikana Aprili 17 mwaka huu, wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na upande wa mawakili wa Pinda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washindi The Baloziz kujulikana kesho

SHINDANO la The Baloziz linatarajiwa kufikia tamati kesho, huku washindi watatu wa kuiwakilisha bia ya Serengeti Platinum katika shughuli mbalimbali za kibiashara ikiwemo matangazo wakipatikana. Akizungumza na Tanzania Daima jana,...

 

11 years ago

Habarileo

Muundo Muungano kujulikana Ijumaa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaMUUNDO wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza kujadiliwa rasmi kupitia Kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba ambazo zinajadili Sura ya Kwanza na ya Sita za rasimu ya Katiba mpya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Waliomba mikopo HELSB kujulikana

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini (HELSB), imesema kuwa itatangaza rasmi majina ya wanafunzi waliokidhi vigezo vya kupata mkopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015. Hayo yamesemwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani