Kesi ya Pinda kujulikana Aprili 17
HATIMA ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu Mizengo Pinda itajulikana Aprili 17 mwaka huu, wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na upande wa mawakili wa Pinda.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3CMaXxxXqFo/Xk6YWGWpw4I/AAAAAAALejY/LFbSxFLetusKihq49TkP-fCsAhbK4xLSwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
UKWELI KESI YA MDEE KUJULIKANA APRILI MOSI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3CMaXxxXqFo/Xk6YWGWpw4I/AAAAAAALejY/LFbSxFLetusKihq49TkP-fCsAhbK4xLSwCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
Uamuzi huo utatolewa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kufuatia upande wa mashtaka uliowakilishwa na wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon kudai mahakamani hapo leo Februari 20, 2020 kuwa wamedunga ushahidinhao.
"Mheshimiwa shauri leo limekuja kwa kutajwa lakini nimepitia ushahidi uliotolewa na mashahidi watatu...
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Kesi ubunge Mbagala kujulikana Februari
10 years ago
Habarileo07 Apr
Hatima kesi ya Mtikila Aprili 30
HATIMA ya kesi iliyofunguliwa na Mchungaji Christopher Mtikila katika Mahakama ya Rufaa akipinga uuzwaji wa jengo la iliyokuwa Forodhani Hoteli itajulikana Aprili 30 mwaka huu ambako Msajili wa Mahakama hiyo atasoma uamuzi.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Kesi ya Zitto kutajwa Aprili mosi
11 years ago
Mwananchi20 May
Kesi ya Pinda yapigwa kalenda
11 years ago
Habarileo17 Apr
Hatima kesi ya Pinda leo
HATIMA ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu Mizengo Pinda inatarajiwa kujulikana leo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na upande wa mawakili wa Pinda pamoja na Mwanasheria Mkuu (AG).
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Hatima pingamizi kesi ya Pinda leo
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Washauri kesi dhidi ya Pinda kutupwa
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Uamuzi pingamizi kesi ya Pinda Apr 17