Kesi ya Zitto kutajwa Aprili mosi
 Kesi ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe, dhidi ya chama hicho, imepangwa kutajwa Aprili mosi mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Feb
Kesi ya Zitto kutajwa leo
KESI ya madai iliyofunguliwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe dhidi ya chama hicho, itatajwa leo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3CMaXxxXqFo/Xk6YWGWpw4I/AAAAAAALejY/LFbSxFLetusKihq49TkP-fCsAhbK4xLSwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
UKWELI KESI YA MDEE KUJULIKANA APRILI MOSI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3CMaXxxXqFo/Xk6YWGWpw4I/AAAAAAALejY/LFbSxFLetusKihq49TkP-fCsAhbK4xLSwCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
Uamuzi huo utatolewa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kufuatia upande wa mashtaka uliowakilishwa na wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon kudai mahakamani hapo leo Februari 20, 2020 kuwa wamedunga ushahidinhao.
"Mheshimiwa shauri leo limekuja kwa kutajwa lakini nimepitia ushahidi uliotolewa na mashahidi watatu...
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Kesi ya Zitto dhidi ya Chadema kutajwa leo Mahakama Kuu Dar
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Kesi ya Twiha kutajwa leo
Kesi ya Twiha kutajwa leo WASHITAKIWA wa kesi ya kusafirisha wanyama hai zaidi ya 100 wakiwamo twiga na ndege wa aina mbalimbali kwenda Qatar wanapandishwa mahakamani kwa mara nyingine tena...
11 years ago
Habarileo18 Mar
Kesi ya Madabida, wenzake kutajwa leo
KESI ya kusambaza dawa bandia za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) inayomkabili Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, inatajwa leo. Kesi hiyo inatajwa mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ili kuangalia kama upelelezi umekamilika au la!.
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Kesi ya MCL na IPTL yaanza kutajwa
11 years ago
Habarileo11 Mar
Walimu wapya 36,021 kuajiriwa Aprili Mosi
SERIKALI imesema kuanzia Aprili Mosi, mwaka huu itaajiri rasmi jumla ya walimu wapya 36,021, ambao wamehitimu masomo yao mwaka 2013 kutoka vyuo mbalimbali. Walimu hao watakaoajiriwa rasmi na Halmashauri, walimu wa ngazi ya cheti Daraja la III A ambao hufundisha shule za msingi ni 17,928 na walimu wa shule za sekondari 18,093.
11 years ago
Habarileo19 Feb
Kesi ya Pinda kujulikana Aprili 17
HATIMA ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu Mizengo Pinda itajulikana Aprili 17 mwaka huu, wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na upande wa mawakili wa Pinda.
10 years ago
Habarileo07 Apr
Hatima kesi ya Mtikila Aprili 30
HATIMA ya kesi iliyofunguliwa na Mchungaji Christopher Mtikila katika Mahakama ya Rufaa akipinga uuzwaji wa jengo la iliyokuwa Forodhani Hoteli itajulikana Aprili 30 mwaka huu ambako Msajili wa Mahakama hiyo atasoma uamuzi.