Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu wapya 36,021 kuajiriwa Aprili Mosi

SERIKALI imesema kuanzia Aprili Mosi, mwaka huu itaajiri rasmi jumla ya walimu wapya 36,021, ambao wamehitimu masomo yao mwaka 2013 kutoka vyuo mbalimbali. Walimu hao watakaoajiriwa rasmi na Halmashauri, walimu wa ngazi ya cheti Daraja la III A ambao hufundisha shule za msingi ni 17,928 na walimu wa shule za sekondari 18,093.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Walimu wengine wapya 2,219 kuajiriwa nchini

SERIKALI itaajiri walimu wengine wapya wapatao 2,219, kufundisha katika shule za msingi na sekondari nchini. Walimu hao ni mbali na wengine wapya 33,894, ambao wameajiriwa hadi kufikia Mei 30, mwaka huu, Bunge lilielezwa mjini hapa jana.

 

10 years ago

Habarileo

Walimu 35,000 kuajiriwa mwaka huu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari, ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni

Mwalimu mahiri ni mwalimu mwenye uwezo wa kumudu kufundisha somo lake kikamilifu na kisha kutoa maarifa sahihi kwa mujibu wa maelekezo ya silabasi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya Zitto kutajwa Aprili mosi

 Kesi ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe, dhidi ya chama hicho, imepangwa kutajwa Aprili mosi mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

UKWELI KESI YA MDEE KUJULIKANA APRILI MOSI

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imesema Aprili Mosi Mwaka  huu itatoa uamuzi dhidi ya kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kama ana kesi ya kujibu au la.
Uamuzi huo utatolewa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kufuatia upande wa mashtaka uliowakilishwa na wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon kudai mahakamani hapo leo Februari 20, 2020 kuwa wamedunga ushahidinhao.
"Mheshimiwa shauri leo limekuja kwa  kutajwa lakini nimepitia ushahidi uliotolewa na mashahidi watatu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twanga kutambulisha wapya Idd Mosi Dar

BENDI ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ imepanga kutambulisha rasmi wanenguaji wapya watatu waliotokea Extra Bongo na Malaika siku ya onyesho lake  la Idd Mosi katika ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni,...

 

10 years ago

Mtanzania

Bango la walimu lazua gumzo Mei Mosi

Na Elizabeth Mjatta
BANGO lililobebwa na walimu katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi jana likiwa na maandishi yanayosomeka “Shemeji unatuachaje?”, limezua gumzo katika maeneo mbalimbali nchini, hususan katika mitandao ya kijamii.
Jana katika maadhimisho hayo ambayo kitaifa yalifanyika mkoani Mwanza na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali, walimu walipita mbele ya Rais Kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi huku wakiwa wamebeba bango hilo.
Wakipita mbele ya Rais Jakaya Kikwete, walimu hao...

 

11 years ago

Habarileo

‘Wapokeeni vizuri walimu wapya’

WAKATI walimu wapya 18,093 wa shule za sekondari walitakiwa kuripoti katika vituo vyao vya kazi kuanzia juzi, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetaka wakurugenzi, maofisa elimu na wakuu wa shule, kuwapokea vizuri wasikimbie maeneo yao ya kazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu wapya waandamana Mwanza

ZAIDI ya walimu 50 kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana mkoani hapa, jana waliandamana hadi ofisi za mkurugenzi wa halmashauri kushinikiza kulipwa mshahara wa mwezi uliopita....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani