Bango la walimu lazua gumzo Mei Mosi
Na Elizabeth Mjatta
BANGO lililobebwa na walimu katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi jana likiwa na maandishi yanayosomeka “Shemeji unatuachaje?”, limezua gumzo katika maeneo mbalimbali nchini, hususan katika mitandao ya kijamii.
Jana katika maadhimisho hayo ambayo kitaifa yalifanyika mkoani Mwanza na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali, walimu walipita mbele ya Rais Kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi huku wakiwa wamebeba bango hilo.
Wakipita mbele ya Rais Jakaya Kikwete, walimu hao...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/-X-NNNbnKLc/default.jpg)
WALIMU KATIKA SHEREHE ZA MEI MOSI UWANJA WA CCM KIRUMBA JIJINI MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9EOn_JXHtKU/VUNNPdZSv0I/AAAAAAAC34I/2qKaWH3EsOQ/s72-c/2.jpg)
onesho la Zari White party lazua gumzo jijini Dar,ni kuhusu kiingilio chake.!
![](http://1.bp.blogspot.com/-9EOn_JXHtKU/VUNNPdZSv0I/AAAAAAAC34I/2qKaWH3EsOQ/s1600/2.jpg)
Onesho hilo ambalo lilizua gumzo kila kona ya...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Polisi wachana bango la walimu linalohoji posho Bunge Maalumu
10 years ago
Vijimambo06 Oct
Polisi wachana bango la walimu linalohoji posho Bunge Maalumu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2476502/highRes/844322/-/maxw/600/-/10claeyz/-/POLISI+PX.jpg)
Bukoba. Maandamano ya walimu kuingia katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani, jana yalipata mtafaruku baada ya polisi kuyaingilia na kuchana bango mojawapo lililohoji posho za wajumbe wa Bunge la Katiba.Bango hilo la kitambaa cheupe lilikuwa na maandishi yanayohoji posho ya Sh300,000...
10 years ago
Habarileo03 May
Bomu lajeruhi 5 mei mosi
WATU watano akiwemo dereva wa gari linalotumiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), wamejeruhiwa vibaya na shambulio la kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutupwa na mkono kutoka kwa watu wawili wasiofahamika walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani juzi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHtM0rqVxIXggAHu7CUo7zJtq2QTW7lMkwjbP5NwOXOscjMdFSPIwY1L*n0w8ZXxJwwrqO2S0IZb20-CQzLWXJq/RAISKIKWETE.jpg)
LEO MEI MOSI JK KUHUTUBIA
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Kalama ajipanga Mei Mosi
10 years ago
Michuzi10 Apr
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
TUCTA yatishia kutoshiriki Mei Mosi
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi nchini (Tucta), limetishia kutoshiriki sherehe za Mei Mosi kwa mwaka huu kwa madai kuwa Rais Jakaya Kikwete ameshindwa kutekeleza madai ya wafanyakazi. Habari kutoka ndani...