onesho la Zari White party lazua gumzo jijini Dar,ni kuhusu kiingilio chake.!
Watangazaji wa Clouds FM kupitia kipindi cha Powerbreakfast Gerald Hando pamoja na Hudson Kamoga wa Clouds TV kupitia kipindi cha Clouds 360 wakifanya mahojiano na Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini na kwingineko Diamond Platnum akiwa na mchumba wake Zari the bosslady,kuhusiana na mambo mbalimbali yakiwemo ya maisha yao na pia kuhusu onesho lao la Zari White Party wanalotarajia kulifanya usiku wa leo pale Mliman City,Jijini Dar.
Onesho hilo ambalo lilizua gumzo kila kona ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Nov
DIAMOND KUFANYA ONESHO KWENYE WHITE PARTY YA ZARI UGANDA
Zari alikua na Diamond kwenye tuzo za...
10 years ago
GPLSHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY YAFUNIKA JIJINI DAR
10 years ago
GPLSHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY YAACHA HISTORIA JIJINI DAR
10 years ago
GPLUSIKU WA ZARI ALL WHITE PARTY ULIVYOFANA NDANI YA MLIMANI CITY JIJINI DAR
10 years ago
Africanjam.ComTANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI
Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...
9 years ago
Bongo Movies18 Dec
Picha: Zari All White Ciroc Party Jana Usiku jijini Kampala
Zari ambaye ni mpenzi wa Diamond Platinumz ndiye muhusika mkuu wa party hii ambapo watu maarufu wa hapa Afrika mashariki walikuwepo akiwemo mwanadada Vera Sidika.
Zari All White Ciroc Party
Picha Kutoka @zarithebosslady on Instagram
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Dewji Blog02 May
Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan
Na Modewji blog team
Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Zari the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club, akiwa na Mshindi wa Big Brother...
10 years ago
VijimamboMaandalizi ya Zari All White Party