Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY YAFUNIKA JIJINI DAR

Diamond akiwachengua mashabiki kwa wimbo wake wa Nasema Nawe aliomshirikisha Malkia wa Taarab, Khadija Kopa. Malkia wa Taarab nchini, Khadija Kopa akiimba sambamba na Diamond Wimbo wa Nasema Nawe.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY YAACHA HISTORIA JIJINI DAR

Diamond akiangalia mimba ya mpenzi wake. Akipapasa tumbo la mpenzi wake. Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo (kulia), akipiga picha na msanii A.K.A kutoka Afrika…

 

10 years ago

GPL

SHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY YANUKIA, DIAMOND AJIPINDA KUHAKIKI TIKETI

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' jana ametupia picha hii mitandaoni akihakiki tiketi kwa ajili ya shoo ya mpenzi wake Zarinah Hassan 'Zari' ya ZARI ALL WHITE PARTY itakayofanyika Ijumaa ya Mei 1, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar. Staa huyo aliisindikiza picha hiyo kwa maneno haya:  "Sio kwa kiingilio hiki cha kuanzia Elf 50 hadi Milioni 3 eti nikajifanya naleta Uboss ... Mzigo Nausimamia mwenyeweee!!!...

 

10 years ago

GPL

USIKU WA ZARI ALL WHITE PARTY ULIVYOFANA NDANI YA MLIMANI CITY JIJINI DAR

Diamond Platnumz akimbusu mpenzi wake Zari katika usiku wa Zari All White Party ndani ya Mlimani City usiku huu. Zari na Diamond katika pozi ndani ya Mlimani City. Zari na Diamond wakati wakiingia ukumbini usiku huu. (PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /…

 

10 years ago

Michuzi

onesho la Zari White party lazua gumzo jijini Dar,ni kuhusu kiingilio chake.!

 Watangazaji wa Clouds FM kupitia kipindi cha Powerbreakfast Gerald Hando pamoja na Hudson Kamoga wa Clouds TV kupitia kipindi cha Clouds 360 wakifanya mahojiano na Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini na kwingineko Diamond Platnum akiwa na mchumba wake Zari the bosslady,kuhusiana na mambo mbalimbali yakiwemo ya maisha yao na pia kuhusu onesho lao la Zari White Party wanalotarajia kulifanya usiku wa leo pale Mliman City,Jijini Dar.
Onesho hilo ambalo lilizua gumzo kila kona ya...

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Zari All White Ciroc Party Jana Usiku jijini Kampala

Hizi ni baadhi ya picha za Zari All White Ciroc Party  iliyofanyika jana usiku kwenye club Guvnor jijin Kampala.

Zari ambaye ni mpenzi wa Diamond Platinumz ndiye muhusika mkuu wa party hii ambapo watu maarufu  wa hapa Afrika mashariki walikuwepo akiwemo mwanadada Vera Sidika.

Zari All White Ciroc Party

Zari All White Ciroc Party

ZARI8912 ZARI834 ZARI234 ZARI734 Picha Kutoka @zarithebosslady on Instagram

 

9 years ago

Global Publishers

Zari ‘All White Ciroc Party’ yafunika Kampala

12354028_634235383383477_2132529986_nMpenzi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ akiwa katika gari kuelekea katika usiku shoo yake ya  All White Ciroc Party iliyofanyika jana usiku kwenye club Guvnor jijin Kampala.

ZARI345Zari akipanda gari.

ZARI734 ZARI834

Zari akiwa katika picha ya pamoja na mashabiki zake.

ZARI0923

Wakiendelea kujiachia.

ZARI234Wakiwa katika ubora wao.

 

10 years ago

Africanjam.Com

TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI

Tweet

Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan

IMG-20150501-WA0003

Na Modewji blog team

Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na  Zari  the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake  mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo  ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club,  akiwa na Mshindi wa Big Brother...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani