Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu wapya waandamana Mwanza

ZAIDI ya walimu 50 kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana mkoani hapa, jana waliandamana hadi ofisi za mkurugenzi wa halmashauri kushinikiza kulipwa mshahara wa mwezi uliopita....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni

Mwalimu mahiri ni mwalimu mwenye uwezo wa kumudu kufundisha somo lake kikamilifu na kisha kutoa maarifa sahihi kwa mujibu wa maelekezo ya silabasi.

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu Mbeya waandamana

Zaidi ya walimu 150 wa shule mbalimbali mjini hapa jana waliandamana kuelekea katika ofisi ya mkurugenzi wa jiji kudai madeni ya fedha yaliyolimbikizwa kwa muda mrefu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walimu waandamana Nigeria kutetea wanafunzi

Walimu Nigeria wanafanya maandamano ya siku moja kushinikiza serikali kuharakisha juhudi zake za kuwatafuta wasichana waliotekwa nyara

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Mwanza waandamana

SIKU chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutangaza maandamano na migomo nchi nzima, jana jijini hapa shughuli za biashara zilisitishwa kwa takribani saa sita. Shughuli hizo zilisitishwa...

 

11 years ago

Habarileo

‘Wapokeeni vizuri walimu wapya’

WAKATI walimu wapya 18,093 wa shule za sekondari walitakiwa kuripoti katika vituo vyao vya kazi kuanzia juzi, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetaka wakurugenzi, maofisa elimu na wakuu wa shule, kuwapokea vizuri wasikimbie maeneo yao ya kazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Walimu wapya 32 waripoti, watano wajawazito

Walimu32 katiya 52 wa shule za msingi waliopangiwa wilayani Urambo, tayari wameripoti huku 20 wakipangiwa vituo vya kazi.

 

11 years ago

Habarileo

Ukerewe waendelea kupokea walimu wapya

IDARA ya Elimu ya sekondari katika wilaya ya Ukerewe, Mwanza, inaendelea kupokea walimu waliopangiwa kazi katika wilaya hiyo hata baada ya muda wa kufanya hivyo kumalizika.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwawezeshe walimu wapya wadumu shuleni

Hivi karibuni serikali ilitangaza ajira mpya kwa walimu. Katika taarifa hiyo walimu 36,021 waliohitimu mafunzo mwaka 2013 walihusishwa katika mchakato huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunda yapata walimu wapya 223

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imeipatia Wilaya ya Bunda jumla ya walimu wapya 223, wakiwemo wa sekondari 137 na shule za msingi 86. Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani