Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu waandamana Nigeria kutetea wanafunzi

Walimu Nigeria wanafanya maandamano ya siku moja kushinikiza serikali kuharakisha juhudi zake za kuwatafuta wasichana waliotekwa nyara

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Agentina waandamana kutetea wanawake

Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Argentina , Buenos Aires kupinga mateso dhidi ya mwanamke

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu Mbeya waandamana

Zaidi ya walimu 150 wa shule mbalimbali mjini hapa jana waliandamana kuelekea katika ofisi ya mkurugenzi wa jiji kudai madeni ya fedha yaliyolimbikizwa kwa muda mrefu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu wapya waandamana Mwanza

ZAIDI ya walimu 50 kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana mkoani hapa, jana waliandamana hadi ofisi za mkurugenzi wa halmashauri kushinikiza kulipwa mshahara wa mwezi uliopita....

 

9 years ago

StarTV

Wanafunzi wapewa mafunzo ya kutetea haki za wanyama

Mkurugenzi mtendaji wa jumuiya ya utetezi na haki za wanyama Zanzibar Ali Abdalla Juma amesema kutoa mafunzo juu ya haki za wanyama kwa wanafunzi ni hatua muhimu ya kurithisha imani kwa jamii juu ya kufanya utetezi na kutokuwaadhibu wanyama kwa hali yeyote ile.

Mkurugenzi huyu anasema wameamua kushererhekea siku ya haki ya wanyama Dunia kwa kufanya Mdahalo kwa mashindano ya kutamka herufi mbali mbali kwa lugha ya kingereza takriban kwa skuli 19 za msingi na sekondari katika sentensi zenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi Stemuco waandamana

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Stella Maris (STEMUCO) mkoani Mtwara, wameandamana juzi wakidai kutolipwa posho za malazi na chakula na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu kwa miezi mitatu...

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi DIT waandamana

WANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) leo wameandamana kwenda Wizara ya Sayansi na Teknolojia wakidai hawajaridhishwa na uamuzi wa uongozi wa chuo kuwazuia wanafunzi 684 kufanya mtihani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi waandamana Malawi

Wanafunzi wa Shule ya msingi wameandamana nchini Malawi wakitaka Serikali kulipa walimu wao mishahara

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi waandamana Chile

Kumeshudiwa ghasia na fujo katika mji mkuu wa Chile, Santiago, kati ya polisi wa kupambana na ghasia na wanafunzi ambao wanataka mabadiliko makubwa yafanyiwe sekta ya elimu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi waandamana Khartoum

Mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu ameuwawa katika maandamano yaliyofanyika katika mji mkuu wa Sudan Khartoum

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani