Wanafunzi Stemuco waandamana
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Stella Maris (STEMUCO) mkoani Mtwara, wameandamana juzi wakidai kutolipwa posho za malazi na chakula na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu kwa miezi mitatu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Wanafunzi waandamana Chile
Kumeshudiwa ghasia na fujo katika mji mkuu wa Chile, Santiago, kati ya polisi wa kupambana na ghasia na wanafunzi ambao wanataka mabadiliko makubwa yafanyiwe sekta ya elimu.
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Wanafunzi waandamana Khartoum
Mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu ameuwawa katika maandamano yaliyofanyika katika mji mkuu wa Sudan Khartoum
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Wanafunzi waandamana Malawi
Wanafunzi wa Shule ya msingi wameandamana nchini Malawi wakitaka Serikali kulipa walimu wao mishahara
11 years ago
Habarileo04 Jun
Wanafunzi DIT waandamana
WANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) leo wameandamana kwenda Wizara ya Sayansi na Teknolojia wakidai hawajaridhishwa na uamuzi wa uongozi wa chuo kuwazuia wanafunzi 684 kufanya mtihani.
10 years ago
Vijimambo11 Apr
AL SHABAAB: WANAFUNZI WAANDAMANA KAMPALA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/10/150410145522_wanafunzi_waandamana_kampala_kupinga_ugaidi_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda wamefanya maandamano ya mshikamano na wenzao waliofikiwa na mkasa katika chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya hivi majuzi.Wanafunzi hawa wamepiga kwata hadi ubalozi wa Kenya nchini Uganda na kutoa rambi rambi zao.
Wanafunzi hao wa wa chuo kikuu cha Makerere mjini Kampala waliandamana wakisindikizwa na bendi moja huku wakipewa ulinzi na polisi kuelekea ubalozi wa Kenya.
Shambulio dhidi ya Chuo cha...
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Wanafunzi wa chuo waandamana DR Congo
Wanafunzi wa chuo kikuu kimoja nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Congo leo wameandamana Kinshasa kulalamikia kuongezwa kwa ada ya masomo.
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Al Shabaab:Wanafunzi waandamana Kampala
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Makerere waliandamana mjini Kampala kuonesha umoja na wenzao wakenya waliuawa na magaidi huko Garissa
11 years ago
BBCSwahili22 May
Walimu waandamana Nigeria kutetea wanafunzi
Walimu Nigeria wanafanya maandamano ya siku moja kushinikiza serikali kuharakisha juhudi zake za kuwatafuta wasichana waliotekwa nyara
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania