Walimu Mbeya waandamana
Zaidi ya walimu 150 wa shule mbalimbali mjini hapa jana waliandamana kuelekea katika ofisi ya mkurugenzi wa jiji kudai madeni ya fedha yaliyolimbikizwa kwa muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Walimu wapya waandamana Mwanza
ZAIDI ya walimu 50 kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana mkoani hapa, jana waliandamana hadi ofisi za mkurugenzi wa halmashauri kushinikiza kulipwa mshahara wa mwezi uliopita....
11 years ago
BBCSwahili22 May
Walimu waandamana Nigeria kutetea wanafunzi
Walimu Nigeria wanafanya maandamano ya siku moja kushinikiza serikali kuharakisha juhudi zake za kuwatafuta wasichana waliotekwa nyara
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu
Walimu wilayani hapa wamekiomba Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kuweka utaratibu utakaowawezesha walimu walioko pembezoni kununua hisa katika Benki ya Walimu ikiwamo ya kutumia kutumia mitandao ya simu za mkononi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NeZSb8inmZg/XsNwbcdl5GI/AAAAAAALqtU/fB7I1rBmzecoLfLGFJIJnH212rT3ZKKxwCLcBGAsYHQ/s72-c/873cfe13-d758-4251-8b9e-f44638d623d6.jpg)
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Selemani Jafo ameutaka uongozi mpya wa Tume ya Utumishi wa Walimu kutatua changamoto za walimu ili kuwatia moyo katika kutimiza majukumu yao.
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni
Mwalimu mahiri ni mwalimu mwenye uwezo wa kumudu kufundisha somo lake kikamilifu na kisha kutoa maarifa sahihi kwa mujibu wa maelekezo ya silabasi.
5 years ago
CCM Blog22 Feb
WAJERUMANI WAANDAMANA
![Wajerumani waandamana kupinga mashambulizi ya kibaguzi ya Hanau, ulinzi wazidishwa kwenye misikiti](https://media.parstoday.com/image/4bv678eba8ded61ls24_800C450.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-kX9XJ7-m2bs/Xp03F8kevnI/AAAAAAAAyOY/motm4V3k8DsTLcLut1Urg25takv0rOT1gCLcBGAsYHQ/s72-c/_111853770_gettyimages-1210398909.jpg)
MAREKNI WAANDAMANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kX9XJ7-m2bs/Xp03F8kevnI/AAAAAAAAyOY/motm4V3k8DsTLcLut1Urg25takv0rOT1gCLcBGAsYHQ/s400/_111853770_gettyimages-1210398909.jpg)
Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majombo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya corona, hali iliyotikisa uchumi wa taifa hilo kubwa zaidi kiuchumi duniani.
Maaandamano yameripotiwa jana Jumapili katika majimbo ya Arizona, Colorado, Montana na Washington, huku mwendelezo wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avzhEoUjpCw-HS579DXn1G8f34OWQZ74OVPNhY*EifLAfoL5DqwYEnVSA3Kto*WjiCcOvCEJG6*nyttvLmrZNgY/AZAMFC2.jpg?width=650)
AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA
Wachezaji wa Azam FC wakipasha misuli ndani ya Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya muda mfupi kabla ya kukwaana na Mbeya City leo. (PICHA NA…
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Chadema waandamana vichochoroni
Wafuasi wa Chadema jana waliandamana katika mitaa ya Manzese na kusababisha tafrani baada ya polisi kuwatawanya kwa mabomu ya machozi na risasi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania