Chadema waandamana vichochoroni
Wafuasi wa Chadema jana waliandamana katika mitaa ya Manzese na kusababisha tafrani baada ya polisi kuwatawanya kwa mabomu ya machozi na risasi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
CHADEMA Mwanza waandamana
SIKU chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutangaza maandamano na migomo nchi nzima, jana jijini hapa shughuli za biashara zilisitishwa kwa takribani saa sita. Shughuli hizo zilisitishwa...
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Chadema waandamana, polisi watumia mabomu kuwatawanya
5 years ago
CCM BlogMAREKNI WAANDAMANA
Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majombo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya corona, hali iliyotikisa uchumi wa taifa hilo kubwa zaidi kiuchumi duniani.
Maaandamano yameripotiwa jana Jumapili katika majimbo ya Arizona, Colorado, Montana na Washington, huku mwendelezo wa...
5 years ago
CCM Blog22 Feb
WAJERUMANI WAANDAMANA
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Wazanzibari waandamana London
Na Mwandishi Wetu
WAZANZIBARI wanaoishi nchini Uingereza jana wamefanya maandamano kutaka nchi hiyo iingilie kati na kutoa shindikizo kwa Serikali ya Tanzania ili kuhakikisha mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar anatangazwa na kuapishwa.
Hatua ya maandamano hayo yamekuja kutokana na hatua ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, kutangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo huku akitoa sababu tisa ikiwemo uchaguzi kutoka huru na haki.
Katika maandamano hayo hayo...
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Maelfu waandamana Malaysia
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Wanariadha waandamana Kenya
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Walimu Mbeya waandamana