Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazanzibari waandamana London

7Na Mwandishi Wetu

WAZANZIBARI wanaoishi nchini Uingereza jana wamefanya maandamano kutaka nchi hiyo iingilie kati na kutoa shindikizo kwa Serikali ya Tanzania ili kuhakikisha mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar anatangazwa na kuapishwa.

Hatua ya maandamano hayo yamekuja kutokana na hatua ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, kutangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo huku akitoa sababu tisa ikiwemo uchaguzi kutoka huru na haki.

Katika maandamano hayo hayo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: London welcomes, supports anti-FGM push in Tanzania

>Wednesday, October 15, 2014...A tiny delegation of well educated women; modest and intelligent, will be welcomed into one of the most powerful rooms in the northern hemisphere. First is Mrs Rhobi Samwelly (pictured), mother of four children, hailing from Butiama, Mara Region.

 

9 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: Wet afternoon, junkie hobbling on a London street

It is a cold wet winter afternoon, a few days after the Paris and Bamako terrorist attacks. As I stroll down a major street in East London, a man is melodically hollering:“Evening Standard! Evening Standard!”

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli

Wakati kampeni za uchaguzi zikiendelea miezi kadhaa iliyopita, Mtanzania mmoja mkazi London alikuwa na mtazamo tofauti. Mwanamuziki na mcheza sarakasi huyu  anaitwa Fab Moses.

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu

“Kenya and Friends in the Park” – yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Shein apongeza Wazanzibari

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewapongeza Wazanzibari kwa kuonesha umoja na mshikamano na uzalendo kwa kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa.

 

10 years ago

Mtanzania

Wazanzibari watishwa bungeni

Bunge

Bunge

NA WAANDISHI WETU, DODOMA

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba waliotokana na kundi la 201, wameanza kupokea ujumbe wa vitisho.

Ujumbe huo ambao MTANZANIA Jumapili iliupata, umeanza kusambazwa jana asubuhi kwa simu za mkononi na unawalenga wajumbe wa kundi hilo wanaotoka Zanzibar.

Unawataka wajumbe hao wasishiriki katika hatua ya kupiga kura ya kupitisha Rasimu ya Katiba inayotarajia kuanza Septemba 2 hadi Oktoba 4.

Ujumbe huo ambao haujajulikana ulianzia wapi na umesambazwa na kundi...

 

11 years ago

Mwananchi

Muungano ulivyowavuruga Wazanzibari

Wiki hii Watanzania wameshuhudia matukio mengi bungeni. Moja ya matukio hayo ni vita ya maneno na tofauti za kisiasa kati ya CUF na CCM.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazanzibari washauriwa kujiunga NHIF

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Hamis Mdee, amewashauri wakazi wa Zanzibar kujiunga na mfuko huo ili kuwa na uhakika wa matibabu. Mdee alisema...

 

11 years ago

Habarileo

Wazanzibari nje waundiwa sera

SERA ya kuhudumia Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi, Diaspora imefikia katika hatua nzuri baada ya kuchangiwa na kupata maoni kutoka kwa wadau mbali mbali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani