Dk Shein apongeza Wazanzibari
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewapongeza Wazanzibari kwa kuonesha umoja na mshikamano na uzalendo kwa kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Oct
Kikwete: Wazanzibari mchagueni Dk Shein
RAIS Jakaya Kikwete amewataka Wazanzibari kumchagua Mgombea wa CCM nafasi ya Urais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyeonesha uwezo mkubwa wa kuwaunganisha Wazanzibari kwa kuleta amani na utulivu.
11 years ago
Habarileo18 Dec
Shein apongeza wakazi wa Kajengwa
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, amewapongeza wananchi wa kijiji cha Kajengwa Makunduchi katika Mkoa wa Kusini Unguja, kwa kuonesha moyo wa kujitolea kujipatia huduma muhimu za afya.
10 years ago
Habarileo01 Jan
Shein ahimiza Wazanzibari kudumisha amani
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu na kuepuka mifarakano inayoweza kuligawa taifa.
10 years ago
Habarileo13 Apr
Dk Shein apongeza maandalizi sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
MWENYEKITI wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ameipongeza Halmashauri ya Sherehe na Maadhimisho ya Kitaifa kwa kusimamia vyema maandalizi na kufanikisha maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
10 years ago
Mtanzania21 Sep
Wazanzibari watishwa bungeni
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba waliotokana na kundi la 201, wameanza kupokea ujumbe wa vitisho.
Ujumbe huo ambao MTANZANIA Jumapili iliupata, umeanza kusambazwa jana asubuhi kwa simu za mkononi na unawalenga wajumbe wa kundi hilo wanaotoka Zanzibar.
Unawataka wajumbe hao wasishiriki katika hatua ya kupiga kura ya kupitisha Rasimu ya Katiba inayotarajia kuanza Septemba 2 hadi Oktoba 4.
Ujumbe huo ambao haujajulikana ulianzia wapi na umesambazwa na kundi...
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Wazanzibari waandamana London
Na Mwandishi Wetu
WAZANZIBARI wanaoishi nchini Uingereza jana wamefanya maandamano kutaka nchi hiyo iingilie kati na kutoa shindikizo kwa Serikali ya Tanzania ili kuhakikisha mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar anatangazwa na kuapishwa.
Hatua ya maandamano hayo yamekuja kutokana na hatua ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, kutangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo huku akitoa sababu tisa ikiwemo uchaguzi kutoka huru na haki.
Katika maandamano hayo hayo...
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Muungano ulivyowavuruga Wazanzibari
11 years ago
Habarileo22 May
Wazanzibari nje waundiwa sera
SERA ya kuhudumia Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi, Diaspora imefikia katika hatua nzuri baada ya kuchangiwa na kupata maoni kutoka kwa wadau mbali mbali.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Changamoto za Mapinduzi ziwaunganishe Wazanzibari
LEO Zanzibar inaadhimisha miaka 50 tangu yalipofanyika mapinduzi yaliyouondoa utawala wa sultani na serikali yake ya mseto ya vyama vya Zanzibar Nationalist Party (ZNP) na Zanzibar and Pemba People’s Party...