Changamoto za Mapinduzi ziwaunganishe Wazanzibari
LEO Zanzibar inaadhimisha miaka 50 tangu yalipofanyika mapinduzi yaliyouondoa utawala wa sultani na serikali yake ya mseto ya vyama vya Zanzibar Nationalist Party (ZNP) na Zanzibar and Pemba People’s Party...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Jan
Mabango sherehe za Mapinduzi yaonesha hisia ya Wazanzibari
MAKUNDI mbalimbali jana yalipamba kilele cha maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa maandamano sanjari na mabango yaliyokuwa na ujumbe mbalimbali.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Mafanikio, changamoto za Mapinduzi
KWA mara nyingine Zanzibar inaadhimisha siku yalipofanyika mapinduzi yaliyouondoa utawala wa sultani na serikali yake ya mseto ya vyama vya Zanzibar Nationalist Party (ZNP) na Zanzibar and Pemba People’s Party...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto
10 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
Mtanzania21 Sep
Wazanzibari watishwa bungeni
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba waliotokana na kundi la 201, wameanza kupokea ujumbe wa vitisho.
Ujumbe huo ambao MTANZANIA Jumapili iliupata, umeanza kusambazwa jana asubuhi kwa simu za mkononi na unawalenga wajumbe wa kundi hilo wanaotoka Zanzibar.
Unawataka wajumbe hao wasishiriki katika hatua ya kupiga kura ya kupitisha Rasimu ya Katiba inayotarajia kuanza Septemba 2 hadi Oktoba 4.
Ujumbe huo ambao haujajulikana ulianzia wapi na umesambazwa na kundi...
11 years ago
Habarileo02 Jan
Dk Shein apongeza Wazanzibari
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewapongeza Wazanzibari kwa kuonesha umoja na mshikamano na uzalendo kwa kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Muungano ulivyowavuruga Wazanzibari
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Wazanzibari waandamana London
Na Mwandishi Wetu
WAZANZIBARI wanaoishi nchini Uingereza jana wamefanya maandamano kutaka nchi hiyo iingilie kati na kutoa shindikizo kwa Serikali ya Tanzania ili kuhakikisha mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar anatangazwa na kuapishwa.
Hatua ya maandamano hayo yamekuja kutokana na hatua ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, kutangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo huku akitoa sababu tisa ikiwemo uchaguzi kutoka huru na haki.
Katika maandamano hayo hayo...