Mabango sherehe za Mapinduzi yaonesha hisia ya Wazanzibari
MAKUNDI mbalimbali jana yalipamba kilele cha maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa maandamano sanjari na mabango yaliyokuwa na ujumbe mbalimbali.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Changamoto za Mapinduzi ziwaunganishe Wazanzibari
LEO Zanzibar inaadhimisha miaka 50 tangu yalipofanyika mapinduzi yaliyouondoa utawala wa sultani na serikali yake ya mseto ya vyama vya Zanzibar Nationalist Party (ZNP) na Zanzibar and Pemba People’s Party...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D1fZPzs2bzA/VLPiXu2VZCI/AAAAAAAG87Q/BQWK_8xDxUw/s72-c/MMGM0512.jpg)
SHEREHE ZA MAPINDUZI ZANZIBAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-D1fZPzs2bzA/VLPiXu2VZCI/AAAAAAAG87Q/BQWK_8xDxUw/s1600/MMGM0512.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nlfxFnj7zWo/VLPiYdyocCI/AAAAAAAG87Y/i-TjMi0OONo/s1600/MMGM0530.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7MLkr3bExFY/VLPiZZ5xpSI/AAAAAAAG87k/Zfo7VaHFUcE/s1600/MMGM0551.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qnHEGsiE_UI/VLPicB9CihI/AAAAAAAG878/wZRK-a-c-ME/s1600/MMGM0631.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Jan
CUF: Hatutashiriki Sherehe za Mapinduzi
10 years ago
Habarileo13 Jan
Kikwete ‘ateka’ sherehe za Mapinduzi
RAIS Jakaya Kikwete ambaye ni mara yake ya mwisho kuhudhuria sherehe hizo, akiwa na wadhifa huo, aliteka umma uliokuwa uwanjani hapo, kutokana na kupokewa kwa shangwe na vigelegele alipowasili.
11 years ago
GPLSHEREHE YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI NEW YORK
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gDJW1Ob3U2s/Vo00XC-Av6I/AAAAAAAIQ60/EgmIe0-neSQ/s72-c/895.jpg)
AIRTEL KUSHIRIKI SHEREHE ZA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-gDJW1Ob3U2s/Vo00XC-Av6I/AAAAAAAIQ60/EgmIe0-neSQ/s640/895.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BlSO3TVinjknPIKdQC*KVCSn*s0QM3nQbbHgxSytkaaK1v3BU67fkHH-2tqnIC5kEfC1-G36eC2kn1oyfFS2ptEX1LvMDjhd/ma1.jpg?width=650)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MAPINDUZI ZANZIBAR LEO
10 years ago
Habarileo13 Apr
Dk Shein apongeza maandalizi sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
MWENYEKITI wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ameipongeza Halmashauri ya Sherehe na Maadhimisho ya Kitaifa kwa kusimamia vyema maandalizi na kufanikisha maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
11 years ago
Dewji Blog27 Apr
Sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi zafana Uwanja wa Taifa
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia wananchi wakati alipokuwa anaingi uwanja wa Uhuru leo katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Pembeni ni Mkuu wa majeshi Jenerali Davis Mwamunyange.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua vikosi vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete...