CUF: Hatutashiriki Sherehe za Mapinduzi
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema hakitashiriki shughuli za maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi Zanzibar hadi uamuzi wa kura za wananchi utakapoheshimiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 May
‘CUF hawaitaki Serikali ya Mapinduzi’
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) hawayatambui Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964. Pia, amesema baadhi ya wajumbe wake, wanapinga Siku ya Mapinduzi, kutambuliwa katika kalenda za kitaifa nchini kote.
10 years ago
Michuzi
SHEREHE ZA MAPINDUZI ZANZIBAR LEO




10 years ago
Habarileo13 Jan
Kikwete ‘ateka’ sherehe za Mapinduzi
RAIS Jakaya Kikwete ambaye ni mara yake ya mwisho kuhudhuria sherehe hizo, akiwa na wadhifa huo, aliteka umma uliokuwa uwanjani hapo, kutokana na kupokewa kwa shangwe na vigelegele alipowasili.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
CUF kususia maadhimisho ya mapinduzi Zanzibar
11 years ago
GPL
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MAPINDUZI ZANZIBAR LEO
11 years ago
GPLSHEREHE YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI NEW YORK
9 years ago
Michuzi
AIRTEL KUSHIRIKI SHEREHE ZA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

10 years ago
VijimamboJK KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 51 YA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR
9 years ago
Habarileo04 Jan
SMZ yasema sherehe za Mapinduzi zipo palepale
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imesema maadhimisho ya sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yapo kama kawaida.