Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazanzibari watishwa bungeni

Bunge

Bunge

NA WAANDISHI WETU, DODOMA

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba waliotokana na kundi la 201, wameanza kupokea ujumbe wa vitisho.

Ujumbe huo ambao MTANZANIA Jumapili iliupata, umeanza kusambazwa jana asubuhi kwa simu za mkononi na unawalenga wajumbe wa kundi hilo wanaotoka Zanzibar.

Unawataka wajumbe hao wasishiriki katika hatua ya kupiga kura ya kupitisha Rasimu ya Katiba inayotarajia kuanza Septemba 2 hadi Oktoba 4.

Ujumbe huo ambao haujajulikana ulianzia wapi na umesambazwa na kundi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nimenusurika kupigwa na Wazanzibari mara mbili bungeni

>Mbunge wa Nkasi Kaskazini mkoani Rukwa, Ally Keissy amesema kuwa katika uhai wake akiwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Bunge la Katiba hawezi kusahau alivyonusurika kupata kipigo kutoka kwa wabunge wa Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

Wajumbe wa Z’bar watishwa

Hali imeanza kuwa tete Bunge la Katiba kutokana na ujumbe unaosambazwa kwa kasi katika mitandao ya kijamii, ili kuwagombanisha na kuwafitinisha wajumbe wa kundi la 201 kutoka Zanzibar.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge watishwa, waambiwa watajuta

JESHI la Polisi mkoani Dodoma linawasaka watu wanaosambaza vipeperushi vya vitisho dhidi ya Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, watakaoingia bungeni leo ambapo pia watu hao walichora ukuta wa Jengo la Makao Makuu Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

9 years ago

Mtanzania

Wananchi watishwa kunyang’anywa uraia

Na Elias Msuya, Katavi

MAKADA wa Umoja wa Katiba ya Wananchi, (Ukawa), wamewataka wananchi wa Jimbo la Nsimbo mkoani Katavi, kutotishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa  watanyang’anywa uraia endapo watamchagua mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

Akizungumza na wananchi wa iliyokuwa kambi ya wakimbizi ya Katumba jana, Katibu wa Chadema Mkoa wa Katavi, Almas Ntije alisema CCM imekuwa ikiwatisha wananchi hao waliopewa uraia mwaka jana, kuwa watanyang’anywa uraia wao kama watachagua...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Shein apongeza Wazanzibari

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewapongeza Wazanzibari kwa kuonesha umoja na mshikamano na uzalendo kwa kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Muungano ulivyowavuruga Wazanzibari

Wiki hii Watanzania wameshuhudia matukio mengi bungeni. Moja ya matukio hayo ni vita ya maneno na tofauti za kisiasa kati ya CUF na CCM.

 

9 years ago

Mtanzania

Wazanzibari waandamana London

7Na Mwandishi Wetu

WAZANZIBARI wanaoishi nchini Uingereza jana wamefanya maandamano kutaka nchi hiyo iingilie kati na kutoa shindikizo kwa Serikali ya Tanzania ili kuhakikisha mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar anatangazwa na kuapishwa.

Hatua ya maandamano hayo yamekuja kutokana na hatua ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, kutangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo huku akitoa sababu tisa ikiwemo uchaguzi kutoka huru na haki.

Katika maandamano hayo hayo...

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete: Wazanzibari mchagueni Dk Shein

RAIS Jakaya Kikwete amewataka Wazanzibari kumchagua Mgombea wa CCM nafasi ya Urais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyeonesha uwezo mkubwa wa kuwaunganisha Wazanzibari kwa kuleta amani na utulivu.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wazanzibari acheni kuoneana haya’

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Abubakar Khamis Bakary amewataka Wazanzibari kuacha tabia ya kuoneana haya na kushindwa kutoa ushahidi wa kesi mbalimbali za vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo ubakaji, kwa kudai kuwa wanamuachia Mungu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani