Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete: Wazanzibari mchagueni Dk Shein

RAIS Jakaya Kikwete amewataka Wazanzibari kumchagua Mgombea wa CCM nafasi ya Urais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyeonesha uwezo mkubwa wa kuwaunganisha Wazanzibari kwa kuleta amani na utulivu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Dk Shein apongeza Wazanzibari

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewapongeza Wazanzibari kwa kuonesha umoja na mshikamano na uzalendo kwa kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa.

 

10 years ago

Habarileo

Shein ahimiza Wazanzibari kudumisha amani

Dk Ali Mohamed SheinRAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu na kuepuka mifarakano inayoweza kuligawa taifa.

 

9 years ago

Habarileo

Makamba: Watanzania mchagueni Magufuli

KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba amewaasa Watanzania kutofanya makosa kwa kumchagua Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa kuwa Rais wa Tanzania na badala yake wamchague Dk John Magufuli ambaye ni kiongozi makini anayejali shida za wananchi.

 

9 years ago

Habarileo

Pinda: Magufuli anafaa kuwa rais, mchagueni

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CC-CCM) ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho (NEC), Mizengo Pinda amewaomba wananchi wamchague John Magufuli kwa kuwa ndiye anayefaa.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mchagueni Lema amsaidie JPM kutumbua majipu

Mawaziri wakuu wastaafu, Edward Lowassa na Fredrick Sumaye, wamewataka wakazi wa Jiji la Arusha kumchagua Godbless Lema kuwa mbunge, kwani ndiye anaweza kumsaidia Rais John Magufuli kutumbua majipu.

 

9 years ago

Michuzi

MCHAGUENI DKT MAGUFULI NDIYE ATAKAYEWEZA KULETA MABADILIKO YA KWELI-KINANA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman akiwasili kwenye uwanja wa shule ya msingi Tunduma
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman akihutubia wakazi wa mji wa Tunduma kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa shule ya msingi Tunduma ambapo aliwaelezea wananchi hao kuwa mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuibadilisha Tanzania,kubadili mfumo wa chama na atakuwa na Baraza la Mawaziri dogo, atapunguza matumizi yasiyo ya lazima ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Shein and Kikwete’s gift to nation as Zanzibar turns 50

>Jubilation, pomp and pageantry defined the Amaan Stadium in the Isles yesterday as Tanzanians marked the 50th anniversary of the Zanzibar Revolution that brought to power a popular government, with Presidents Ali Mohammed Shein and Jakaya Kikwete declaring today an extension of yesterday’s public holiday.

 

9 years ago

TheCitizen

Take leadership responsibility, Maalim Seif asks Kikwete, Shein

Zanzibar’s CUF presidential candidate, Maalim Seif Sharif Hamad, has asked presidents Jakaya Kikwete and Ali Mohamed Shein to  observe constitutions and laws of the land during their last days of leadership.

 

10 years ago

Sabahi Online

Tanzania's Constituent Assembly hands over draft constitution to Kikwete, Shein


euronews
Tanzania's Constituent Assembly hands over draft constitution to Kikwete, Shein
Sabahi Online
Tanzania's Constituent Assembly (CA) on Wednesday (October 8th) presented a draft of the country's new constitution to President Jakaya Kikwete, more than two years after Kikwete announced a review of the current document, Tanzania's Daily News ...
Tanzania to hold vote on new constitutionwww.worldbulletin.net
Tanzania to hold vote on new constitution, possibly after Mayswissinfo.ch
Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani