Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muungano ulivyowavuruga Wazanzibari

Wiki hii Watanzania wameshuhudia matukio mengi bungeni. Moja ya matukio hayo ni vita ya maneno na tofauti za kisiasa kati ya CUF na CCM.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

'Kuna Wazanzibari wanataka kuvunja Muungano'

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ametoa ufafanuzi wa aina mbili ya Wazanzibari.

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Wazanzibari nichagueni mnufaike na Muungano

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad (pichani), amesema iwapo atachaguliwa atahakikisha wananchi wa Tanzania Bara na Visiwani wananufaika na Muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano

Leo nijikite katika kuongeza uelewa juu ya tofauti iliyopo kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Nchi yetu inatokana na muungano wa zilizokuwa nchi mbili huru kwa maana ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo ziliwezesha kuundwa kwa nchi mpya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Mtanzania

Wazanzibari watishwa bungeni

Bunge

Bunge

NA WAANDISHI WETU, DODOMA

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba waliotokana na kundi la 201, wameanza kupokea ujumbe wa vitisho.

Ujumbe huo ambao MTANZANIA Jumapili iliupata, umeanza kusambazwa jana asubuhi kwa simu za mkononi na unawalenga wajumbe wa kundi hilo wanaotoka Zanzibar.

Unawataka wajumbe hao wasishiriki katika hatua ya kupiga kura ya kupitisha Rasimu ya Katiba inayotarajia kuanza Septemba 2 hadi Oktoba 4.

Ujumbe huo ambao haujajulikana ulianzia wapi na umesambazwa na kundi...

 

9 years ago

Mtanzania

Wazanzibari waandamana London

7Na Mwandishi Wetu

WAZANZIBARI wanaoishi nchini Uingereza jana wamefanya maandamano kutaka nchi hiyo iingilie kati na kutoa shindikizo kwa Serikali ya Tanzania ili kuhakikisha mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar anatangazwa na kuapishwa.

Hatua ya maandamano hayo yamekuja kutokana na hatua ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, kutangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo huku akitoa sababu tisa ikiwemo uchaguzi kutoka huru na haki.

Katika maandamano hayo hayo...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Shein apongeza Wazanzibari

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewapongeza Wazanzibari kwa kuonesha umoja na mshikamano na uzalendo kwa kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wazanzibari acheni kuoneana haya’

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Abubakar Khamis Bakary amewataka Wazanzibari kuacha tabia ya kuoneana haya na kushindwa kutoa ushahidi wa kesi mbalimbali za vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo ubakaji, kwa kudai kuwa wanamuachia Mungu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazanzibari huku, Watanganyika kule

MWANZONI mwa mwezi uliopita niliulizwa swali nikiwa Kamachumu. Lilihusu mchakato wa katiba mpya na mkwamo wa sasa wa Bunge Maalumu la Katiba. Muuliza swali alitaka kujua hatima ya mnyukano huu...

 

11 years ago

Habarileo

Wazanzibari nje waundiwa sera

SERA ya kuhudumia Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi, Diaspora imefikia katika hatua nzuri baada ya kuchangiwa na kupata maoni kutoka kwa wadau mbali mbali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani