Shein apongeza wakazi wa Kajengwa
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, amewapongeza wananchi wa kijiji cha Kajengwa Makunduchi katika Mkoa wa Kusini Unguja, kwa kuonesha moyo wa kujitolea kujipatia huduma muhimu za afya.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Jan
Dk Shein apongeza Wazanzibari
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewapongeza Wazanzibari kwa kuonesha umoja na mshikamano na uzalendo kwa kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa.
10 years ago
Habarileo13 Apr
Dk Shein apongeza maandalizi sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
MWENYEKITI wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ameipongeza Halmashauri ya Sherehe na Maadhimisho ya Kitaifa kwa kusimamia vyema maandalizi na kufanikisha maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s72-c/5.jpg)
WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qvJtI-FXRpE/VBNpzXDxTgI/AAAAAAACquk/NcynDHmhNvE/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-txkv9zEdcDM/VBNp0e6MWFI/AAAAAAACqu0/xzNCMXQVVRg/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lKOVvz2JGTQ/VWNBQ8VHFSI/AAAAAAAHZvg/w1_uujV3aaI/s72-c/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
Dkt. Shein aongoza waombolezaji kwenye mazishi ya dada yake, Marehemu Fatma Shein
![](http://1.bp.blogspot.com/-lKOVvz2JGTQ/VWNBQ8VHFSI/AAAAAAAHZvg/w1_uujV3aaI/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vsf68xAbpJs/VWNBRGHMgdI/AAAAAAAHZvc/LlMG9Xy7nZM/s640/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Dec
DC Masasi apongeza REA
MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Farida Mgomi, amepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa programu yao ya mafunzo inayoendelea wilayani humo, itakayosaidia kukabiliana na uharibifu wa mazingira ya bahari.
9 years ago
Habarileo21 Oct
Kikwete apongeza Polisi
RAIS Jakaya Kikwete amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia vizuri kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazofikia ukingoni, lakini akalitaka kuwadhibiti watu wote watakaoonesha viashiria vya uvunjifu wa amani kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu unaofanyika Jumapili wiki hii.
10 years ago
Habarileo17 Dec
Nape apongeza wapinzani
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimevipongeza vyama vingine vya siasa nchini kwa ushiriki wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwataka waongeze kasi kwani ushindi wao wa asilimia 14 hadi sasa ni mdogo, ukilinganisha na umri wa mfumo wa vyama vingi nchini ambao ni miaka 20.
9 years ago
MichuziMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
10 years ago
Habarileo04 Nov
Diwani wa Chadema apongeza serikali
DIWANI wa Kata ya Kilagano Halmashauri ya Wilaya ya Songea Vijijini (Chadema), Batholomew Mkwera, amepongeza serikali kwa kumaliza kero mbalimbali katika kata yake.