WAJERUMANI WAANDAMANA
Maelfu ya Wajerumani wamefanya maandamano katika miji kadhaa ya nchi hiyo wakilaani mashambulizi ya kibaguzi yaliyotokea katika eneo la Hanau lililoko karibu ya mji wa Frankfurt.Maandamano hayo ya kupinga ubaguzi yamefanyika katika zaidi ya miji 50 ya Ujerumani ambako waandamanaji wamelaani vikali mashambulizi yaliyofanywa na raia mmoja wa nchi hiyo aliyekuwa na misimamo ya kufurutu ada na ya kibaguzi katika mji wa Hanau. Wakati huo huo serikali ya Ujerumani imezidisha ulinzi katika...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi27 Mar
WAJERUMANI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI

Na Damas Makangale
HUKU Tembo wakiendelea kuuawa katika mbuga kadhaa nchini, Serikali ya Ujerumani imeahidi kutoa ushirikiano wa kutosha katika kupambana tatizo la ujangili...
11 years ago
GPL
ARGENTINA YALIPA KISASI KWA WAJERUMANI, YAWAPIGA 4-2
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Hadi 70% ya Wajerumani katika hatari ya kuambukizwa Coronavirus
5 years ago
Michuzi
Merkel: 60% hadi 70% ya Wajerumani huenda wakakumbwa na Corona

Merkel alisema hayo jana Jumanne mbele ya Bunge la nchi hiyo ambalo lilipokea kwa mshtuko mkubwa takwimu hizo za kuogofya za Kansela wa nchi hiyo.
Amesema ikilazimu, vikao vya Bunge la nchi hiyo ya Ulaya vitasimamishwa, sambamba na kufutwa kwa mikutano na shughuli zenye mijumuiko ya watu wengi. Hata hivyo hajaeleza serikali yake imejiandaa vipi kukabiliana na...
10 years ago
Dewji Blog20 Jan
Mkalama watakiwa kulikarabati jengo la kihistoria la Wajerumani
Gofu la nyumba iliyokuwa makazi ya kiongozi wa Wajerumani waliokuwa wakilima zao la mpira kuanzia mwaka wa 1905. Imedaiwa Wajerumani hao walikuja nyang’anywa makazi hayo na Waingereza. Makazi hayo endapo yatafanyiwa ukarabati na kutangazwa kikamilifu, yatavutia watalii wa ndani na nje ya nchi na hivyo kuiingizia kipato kikubwa halmashauri ya Mkalama.
Na Nathaniel Limu, Mkalama
HALMASHAURI ya wilaya ya Mkalama Mkoa wa Singida, imeshauriwa kuzingatia uwezekano wa kulikarabati na kulilinda ...
10 years ago
Habarileo12 Jul
Wajerumani wasaidia VETA kufua mafundi stadi
TANZANIA itafaidika kwa kupata mafundi stadi mahiri kama walivyo Wajerumani, baada ya kuzinduliwa kwa awamu ya pili ya Mafunzo ya Uanagenzi, yatakayoendeshwa na Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa ushirikiano na serikali ya Ujerumani kupitia Taasisi ya Hamburg Chamber of Skilled Craft.
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Ng’wanamalundi; Mtu wa miujiza aliyeutesa utawala wa Wajerumani (2)
10 years ago
VijimamboMkutano wa Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Afrika na Wajerumani wafanyika Berlin
11 years ago
CloudsFM14 Jul