Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIHANNA ALIVYOUNGANA NA WAJERUMANI KUSHEHEREKEA UBINGWA KOMBE LA DUNIA

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Afrika yajihakikishia ubingwa kombe la vijana

Afrika imejihakikishia ubingwa wa Kombe la Dunia la vijana wa chini ya umri wa miaka 17 baada ya mataifa mawili ya Afrika kufika fainali.

 

11 years ago

Mwananchi

Makocha Bara waahidi ubingwa Kombe la Mapinduzi

>Ubingwa lazima! ni kauli mbiu ya wachezaji wa Tanzania Bara waliyokwenda nayo visiwani Zanzibar tayari kwa michuano ya Kombe la Mapinduzi  inayofunguliwa asubuhi hii.

 

10 years ago

GPL

YANGA SC WALIVYOKABIDHIWA KOMBE LA UBINGWA LIGI KUU BARA

Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014 - 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam jana. Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akimkabidhi cheti cha salamu za pongezi za ubingwa kutoka Fifa, Mwenyekiti wa timu hiyo… ...

 

10 years ago

Mwananchi

UBINGWA KOMBE LA KAGAME: Kila kona ni Bocco, Tchetche

Azam imeandika historia mpya kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Kagame bila ya kufungwa bao lolote, baada ya kuichapa Gor Mahia ya Kenya kwa mabao 2-0 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ivory Coast yatwaa ubingwa kombe la AFCON 2015 kwa kuichapa Ghana 9-8

0f746cc1-2dc6-49fb-a44f-c7adb6a14c7f-2060x1236

Ivory Coast v Ghana Photograph: Khaled Desouki/AFP/Getty Images

And Barry scores!!!!! IVORY COAST ARE 2015 AFRICA CUP OF NATIONS CHAMPIONS.

What an amazing way to finish it. They could not be separated after 90 minutes. They could not be separated after an additional 30. The regular five penalties could not separate them either and it went all the way to the goalkeepers in sudden death. Braimah had his saved by Barry, who then stepped up to score the deciding kick.

Congratulations to Ivory...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mnigeria atwaa ubingwa wa dunia wa Scrabble

Raia mmoja wa Nigeria amewashangaza ulimwengu wa mchezo wa kujenga maneno ya kizungu -Scrabble, kwa kumshinda muingereza na kuibuka bingwa wa dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

Shahanga: Nilikaribia kutwaa ubingwa wa dunia

Mwaka 1983 mwanariadha wa Tanzania, Gidamis Shahanga alikamata nafasi ya tano katika mashindano ya riadha ya dunia yaliyofanyika huko Helsinki, Finland. Shahanga alishika nafasi hiyo baada ya kukimbia mbio za mita 10,000 kwa kutumia dakika 28:01:93.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani