Mnigeria atwaa ubingwa wa dunia wa Scrabble
Raia mmoja wa Nigeria amewashangaza ulimwengu wa mchezo wa kujenga maneno ya kizungu -Scrabble, kwa kumshinda muingereza na kuibuka bingwa wa dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Djockovic atwaa ubingwa wa US Open
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA namba moja kwa ubora duniani katika mchezo wa tenisi, Novak Djockovic, amefanikiwa kuchukua ubingwa wa wazi nchini Marekani baada ya kumchapa mpinzani wake, Rodger Federer, anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani.
Novak amemshinda Federer kwa jumla ya seti 6-4 5-7 6-4 6-4, kutokana na ushindi huu mchezaji huyo jumla atakuwa ametwaa mataji matatu ya Grand Slam mwaka huu.
Mbali na kuchukua mataji matatu mwaka huu, mchezaji huyo hilo litakuwa ni taji lake la 10 la...
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Nadal atwaa ubingwa wa Hamburg
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
King Class Mawe atwaa ubingwa wa WPBF
BONDIA Mtanzania, Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ amerejea nchini na ubingwa wa WPBF akitokeza Zambia ambako alifanikiwa kumpiga kwa KO, Mzambia Mwansa Kabinga katika pambano lililofanyika Uwanja wa Arthur Davis,...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Aguero: Messi atatupa ubingwa wa Dunia
MSHAMBULIAJI wa Manchester City ya England, Sergio Aguero amesema kwamba yuko fiti na tayari kwa ushitikiano hatari na nyota wa FC Barcelona ya Hispania Lionel Messi, kuongoza jaribio la timu...
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Shahanga: Nilikaribia kutwaa ubingwa wa dunia
11 years ago
CloudsFM14 Jul
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-ajvWrqtOt1g/UuyrGfE9RQI/AAAAAAAAqOE/4T5aPkZj4-0/s1600/pw105-125-2013-165105-high-jpg.jpg)
KOCHA ALIYEIPA SPAIN UBINGWA WA ULAYA AFARIKI DUNIA LEO
10 years ago
Bongo523 Nov
Picha: Lewis Hamilton anyakua ubingwa wa dunia wa mbio za magari za Formula One