Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nadal atwaa ubingwa wa Hamburg

Nyota namba kumi kwa ubora wa mchezo wa tenesi duniani Rafael Nadal ametwaa ubingwa wa michuano ya wazi ya Hamburg

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Djockovic atwaa ubingwa wa US Open

KUBWANEW YORK, MAREKANI

NYOTA namba moja kwa ubora duniani katika mchezo wa tenisi, Novak Djockovic, amefanikiwa kuchukua ubingwa wa wazi nchini Marekani baada ya kumchapa mpinzani wake, Rodger Federer, anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani.

Novak amemshinda Federer kwa jumla ya seti 6-4 5-7 6-4 6-4, kutokana na ushindi huu mchezaji huyo jumla atakuwa ametwaa mataji matatu ya Grand Slam mwaka huu.

Mbali na kuchukua mataji matatu mwaka huu, mchezaji huyo hilo litakuwa ni taji lake la 10 la...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mnigeria atwaa ubingwa wa dunia wa Scrabble

Raia mmoja wa Nigeria amewashangaza ulimwengu wa mchezo wa kujenga maneno ya kizungu -Scrabble, kwa kumshinda muingereza na kuibuka bingwa wa dunia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

King Class Mawe atwaa ubingwa wa WPBF

BONDIA Mtanzania, Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ amerejea nchini na ubingwa wa WPBF akitokeza Zambia ambako alifanikiwa kumpiga kwa KO, Mzambia Mwansa Kabinga katika pambano lililofanyika Uwanja wa Arthur Davis,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBL ilivyoanza safari ya ‘Hwk Hamburg’ Tanzania

KATIKA kasi ya mabadiliko ya uchumi wa Tanzania, ujuzi wa kazi ni moja ya mahitaji makubwa, lakini cha kusikitisha ni kwamba kwa kiasi kikubwa ujuzi huu tunaupata kutoka nchi za...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI MARMO AFANYA ZIARA YA KIKAZI MJINI HAMBURG

Mhe. Philip S. Marmo,Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani (Kushoto) akiwa kwenye kikao na Mhe.Wolfgang Schmidt, Naibu Waziri anaye shughulikia masuala ya Umoja wa Ulaya na Mambo ya Nje wa jimbo la Hamburg. Mkutano huo ulifanyika siku ya tarehe 29 Septemba,2015 kwenye ofisi Mhe.Schmdit mjini Hamburg.Mhe.Balozi Marmo alikuwa mjini Hamburg kwa ziara ya kikazi.Mhe. Philip S. Marmo,Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani (wa kwanza kushoto) kwenye mazungumzo na Mhe.Vladimir Vladimirovich...

 

9 years ago

BBCSwahili

Murray, Nadal watamba

Muingereza Andy Murray anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani ameanza vema michuano ya dunia ya tenesi

 

9 years ago

BBCSwahili

Nadal amchapa Murray

Mchezaji namba tano kwa ubora wa mchezo wa tenesi kwa upande wa wanaume Rafael Nadal,amemshinda muingereza Andry Murray.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rafael Nadal ajiondoa US Open

Mashabiki wa Tennis watamkosa mchezaji wao mashuhuri Rafael Nadal US Open

 

9 years ago

TheCitizen

Federer, Nadal at US Open crossroads

Roger Federer and Rafael Nadal, with 31 major titles between them, head for the US Open with their Grand Slam careers at crossroads.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani