Djockovic atwaa ubingwa wa US Open
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA namba moja kwa ubora duniani katika mchezo wa tenisi, Novak Djockovic, amefanikiwa kuchukua ubingwa wa wazi nchini Marekani baada ya kumchapa mpinzani wake, Rodger Federer, anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani.
Novak amemshinda Federer kwa jumla ya seti 6-4 5-7 6-4 6-4, kutokana na ushindi huu mchezaji huyo jumla atakuwa ametwaa mataji matatu ya Grand Slam mwaka huu.
Mbali na kuchukua mataji matatu mwaka huu, mchezaji huyo hilo litakuwa ni taji lake la 10 la...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Djockovic bingwa US Open
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Nadal atwaa ubingwa wa Hamburg
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Mnigeria atwaa ubingwa wa dunia wa Scrabble
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
King Class Mawe atwaa ubingwa wa WPBF
BONDIA Mtanzania, Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ amerejea nchini na ubingwa wa WPBF akitokeza Zambia ambako alifanikiwa kumpiga kwa KO, Mzambia Mwansa Kabinga katika pambano lililofanyika Uwanja wa Arthur Davis,...
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Novat Djokovic atwaa taji
11 years ago
BBCSwahili25 Jan
Li Na atwaa Grand Slam ya pili.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGZrXAovHTfMuMHfX3M8KYvBLU4hgwMJqAckJ0*O8Cvgfum7jeFplZg9IGzQIZJYBbAK*H-ApDa4B8czZ9qmnsg2/Diamond22.jpg?width=650)
DIAMOND ATWAA TUZO YA KORA