Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Djockovic atwaa ubingwa wa US Open

KUBWANEW YORK, MAREKANI

NYOTA namba moja kwa ubora duniani katika mchezo wa tenisi, Novak Djockovic, amefanikiwa kuchukua ubingwa wa wazi nchini Marekani baada ya kumchapa mpinzani wake, Rodger Federer, anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani.

Novak amemshinda Federer kwa jumla ya seti 6-4 5-7 6-4 6-4, kutokana na ushindi huu mchezaji huyo jumla atakuwa ametwaa mataji matatu ya Grand Slam mwaka huu.

Mbali na kuchukua mataji matatu mwaka huu, mchezaji huyo hilo litakuwa ni taji lake la 10 la...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Djockovic bingwa US Open

Nyota duniani kwa mchezo tenesi Novack Djockovic ametwaa taji la Us Open dhidi ya kumshinda mpinzani wake Rodger Federer

 

10 years ago

BBCSwahili

Nadal atwaa ubingwa wa Hamburg

Nyota namba kumi kwa ubora wa mchezo wa tenesi duniani Rafael Nadal ametwaa ubingwa wa michuano ya wazi ya Hamburg

 

9 years ago

BBCSwahili

Mnigeria atwaa ubingwa wa dunia wa Scrabble

Raia mmoja wa Nigeria amewashangaza ulimwengu wa mchezo wa kujenga maneno ya kizungu -Scrabble, kwa kumshinda muingereza na kuibuka bingwa wa dunia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

King Class Mawe atwaa ubingwa wa WPBF

BONDIA Mtanzania, Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ amerejea nchini na ubingwa wa WPBF akitokeza Zambia ambako alifanikiwa kumpiga kwa KO, Mzambia Mwansa Kabinga katika pambano lililofanyika Uwanja wa Arthur Davis,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Novat Djokovic atwaa taji

Mserbia Novak Djokovic ameshinda taji la Wimbledon baada ya kumfunga mpinzani wake wa mara zote Roger Federer.

 

11 years ago

BBCSwahili

Li Na atwaa Grand Slam ya pili.

Li Na amekuwa mtu wa kwanza kutoka bara la Asia na China kunyakuwa taji la ubingwa tenesi kwenye michuano ya Australian Open.

 

11 years ago

GPL

DIAMOND ATWAA TUZO YA KORA

Staa wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond'. Cheti kutoka Kora alichopokea Diamond Platnumz. STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo za Kora katika kipengele cha Msanii Bora wa Kiume wa Afrika Mashariki.  Meneja wa msanii huyo, Babu Tale amethibitisha kupokea cheti cha heshima kuhusu tuzo hiyo huku akisema wanasubiri utaratibu… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani