Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Djockovic bingwa US Open

Nyota duniani kwa mchezo tenesi Novack Djockovic ametwaa taji la Us Open dhidi ya kumshinda mpinzani wake Rodger Federer

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Djockovic atwaa ubingwa wa US Open

KUBWANEW YORK, MAREKANI

NYOTA namba moja kwa ubora duniani katika mchezo wa tenisi, Novak Djockovic, amefanikiwa kuchukua ubingwa wa wazi nchini Marekani baada ya kumchapa mpinzani wake, Rodger Federer, anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani.

Novak amemshinda Federer kwa jumla ya seti 6-4 5-7 6-4 6-4, kutokana na ushindi huu mchezaji huyo jumla atakuwa ametwaa mataji matatu ya Grand Slam mwaka huu.

Mbali na kuchukua mataji matatu mwaka huu, mchezaji huyo hilo litakuwa ni taji lake la 10 la...

 

11 years ago

GPL

WAWRINKA BINGWA AUSTRALIAN OPEN

Stanislas Wawrinka. MCHEZA Tenisi kutoka Uswisi, Stanislas Wawrinka ametwaa taji la Grand Slam, kwa kumshinda Rafael Nadal kwa seti 6-3, 6-2, 3-6, 6-3 katika mechi ya fainali ya michuano ya Australian Open hivi punde. Rafael…

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams bingwa US Open

Serena Williams, ametwaa ubingwa wa US Open baada ya kumshinda Caroline Wozniacki

 

10 years ago

BBCSwahili

Marin Cilic bingwa US Open

Marin Cilic wa Croatia ameibuka bingwa wa US Open kwa kumshinda Kei Nishikori wa Japan

 

10 years ago

BBCSwahili

Djokovic bingwa BNP Paribas Open

Mcheza tenis namba moja duniani kwa upande wa wanaume Novak Djokovic amenyakua ubingwa wa BNP Paribas Open.

 

11 years ago

BBCSwahili

Stan bingwa mpya wa Australia Open

Stanislas Wawrinka raia wa Uswis amefanikiwa kutwaa taji la michuano ya wazi ya Australia kwa kumchapa Mhispania Rafael Nadal.

 

9 years ago

Michuzi

IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiTIMU ya Mpira wa Pete ya Idara ya Uhamiaji,imeibuka mshindi katika michuano ya mashindano ya Klabu bingwa wa mpira wa pete baada ya kuipiga timu ya Mbweni JKT iliyokuwa ikishikilia ubingwa huo. Akizungumza baada ya kupokea kombe hilo ,Kamishina wa Utawala na Fedha wa Idra ya Uhamiaji,Piniel Mgonja  amewataka wachezaji wa timu hiyo kujituma na kuweza kulinda kombe hilo ililisichukuliwe katika michuano mingine. Mgonja amesema katika mwaka huu wamekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani