Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAWRINKA BINGWA AUSTRALIAN OPEN

Stanislas Wawrinka. MCHEZA Tenisi kutoka Uswisi, Stanislas Wawrinka ametwaa taji la Grand Slam, kwa kumshinda Rafael Nadal kwa seti 6-3, 6-2, 3-6, 6-3 katika mechi ya fainali ya michuano ya Australian Open hivi punde. Rafael…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Murray asonga mbele Australian Open

Andy Murray yumo mbioni kushinda mashindano ya Tennis ya Australian Open baada ya kumbwaga Feliciano Lopez katika raundi ya 3

 

10 years ago

BBCSwahili

Murry atinga fainali Australian Open

Mwingereza Andy Murry ameshaingia hatua ya fainali baada ya kufunga mpinzani wake Thomas Berdych katika hatua ya nusu fainali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jua kali lasitisha Australian Open

Viwango vya juu vya joto vimewalazimisha waandalizi wa mashindano ya tennis ya Australian Open, kusimamisha mashindano hayo.

 

5 years ago

FXStreet

Australian PM Morrison: 15 Australian cases of coronavirus linked to Wuhan have now been treated

Australian PM Morrison: 15 Australian cases of coronavirus linked to Wuhan have now been treated  FXStreetCoronavirus a global health crisis: PM  7NEWS.com.auView Full coverage on Google News

 

9 years ago

BBCSwahili

Djockovic bingwa US Open

Nyota duniani kwa mchezo tenesi Novack Djockovic ametwaa taji la Us Open dhidi ya kumshinda mpinzani wake Rodger Federer

 

10 years ago

BBCSwahili

Marin Cilic bingwa US Open

Marin Cilic wa Croatia ameibuka bingwa wa US Open kwa kumshinda Kei Nishikori wa Japan

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams bingwa US Open

Serena Williams, ametwaa ubingwa wa US Open baada ya kumshinda Caroline Wozniacki

 

11 years ago

BBCSwahili

Stan bingwa mpya wa Australia Open

Stanislas Wawrinka raia wa Uswis amefanikiwa kutwaa taji la michuano ya wazi ya Australia kwa kumchapa Mhispania Rafael Nadal.

 

10 years ago

BBCSwahili

Djokovic bingwa BNP Paribas Open

Mcheza tenis namba moja duniani kwa upande wa wanaume Novak Djokovic amenyakua ubingwa wa BNP Paribas Open.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani