Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marin Cilic bingwa US Open

Marin Cilic wa Croatia ameibuka bingwa wa US Open kwa kumshinda Kei Nishikori wa Japan

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Citizen Daily

Messages flow freely as journalist Marin Hassan Marin is laid to rest in Zanzibar

Messages flow freely as journalist Marin Hassan Marin is laid to rest in Zanzibar  The Citizen Daily

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WA ZANZIBAR WASHIRIKI MAZIKO YA MWANDISHI WA HABARI MUANDAMIZI WA TBC MARIN HASSAN MARIN



WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakiwa katika Ibada ya kuusalia Mwili wa Marehemu Marin Hassan Marin, Mwandishi wa Habari Muandamiziu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) sala na dua hiyo imefanyika katiuka Msikiti wa KMKM Kibweni Wilaya ya Magharibi”A” Unguja leo 2/4./2020,saa nne na kuzikwa katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Jijini Zanzibar.

 

5 years ago

CCM Blog

MARIN HASSAN MARIN

Aliyekuwa mtangazaji nguli wa Shirika la  Utangazaji Tanzania (TBC) Marin Hasan Marin amefariki dunia usiku wa kuamkia leo

Mkurugenzi wa Shirika hilo la Utangazaji Tanzania (TBC), Dk. Ayub Rioba amesema kifo cha Marin Hassan Marin kicmetokea leo asubuhi katika Hospitali ya Jeshi  Lugalo, jijini Dar es Salaam.

Amesema taarifa  zaidi juu ya kifo cha Marin zitaendelea kutolewa na uongozi wa TBC.

 

9 years ago

BBCSwahili

Djockovic bingwa US Open

Nyota duniani kwa mchezo tenesi Novack Djockovic ametwaa taji la Us Open dhidi ya kumshinda mpinzani wake Rodger Federer

 

11 years ago

GPL

WAWRINKA BINGWA AUSTRALIAN OPEN

Stanislas Wawrinka. MCHEZA Tenisi kutoka Uswisi, Stanislas Wawrinka ametwaa taji la Grand Slam, kwa kumshinda Rafael Nadal kwa seti 6-3, 6-2, 3-6, 6-3 katika mechi ya fainali ya michuano ya Australian Open hivi punde. Rafael…

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams bingwa US Open

Serena Williams, ametwaa ubingwa wa US Open baada ya kumshinda Caroline Wozniacki

 

11 years ago

BBCSwahili

Stan bingwa mpya wa Australia Open

Stanislas Wawrinka raia wa Uswis amefanikiwa kutwaa taji la michuano ya wazi ya Australia kwa kumchapa Mhispania Rafael Nadal.

 

10 years ago

BBCSwahili

Djokovic bingwa BNP Paribas Open

Mcheza tenis namba moja duniani kwa upande wa wanaume Novak Djokovic amenyakua ubingwa wa BNP Paribas Open.

 

10 years ago

TheCitizen

Wawrinka, Cilic face toughest challenge yet

Jose Callejon believes playing regular football with Napoli has been instrumental in his ascension to the Spain national squad. The attacking midfielder has been called up by Vicente del Bosque for Saturday’s Euro 2016 qualifier with Belarus and the subsequent friendly with world champions Germany three days later.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani